amita bacha
Senior Member
- Mar 10, 2017
- 180
- 411
Mechi ya leo kati ya Yanga na Lipuli tumeshuhudia mpira wa hovyo kutoka kwa timu ya lipuli zaidi ya dakika 40 wanajilaza makusudi kupoteza muda, mpira ni mchezo wa miguu unaoonekana sasa masuala ya kujilaza na kujiangusha unaondoa ladha ya mpira bora wakacheza basket huko.
Kwako kocha wa Lipuli, waelekeze na wabadilishe wachezaji wako ,aina ya mchezo mnaocheza unakera na kutia hasira yaani zaidi ya dakika 45 inapotea kwa ujinga ,yani contact kidogo unajua kitakachofuata ni kupoteza muda.
Na mpira ulivyoisha sikushangaa kuona mashabiki wa yanga kutaka kuwavamia lipuli sababu mtu kanunua tiketi, katumia nauli halafu anakutana na ujinga na ladha ya mpira mbovu.
Matola ibadilishe timu yako acheni umama, chezeni mpira hata twiga stars hawachezi hivyo.
Kwako kocha wa Lipuli, waelekeze na wabadilishe wachezaji wako ,aina ya mchezo mnaocheza unakera na kutia hasira yaani zaidi ya dakika 45 inapotea kwa ujinga ,yani contact kidogo unajua kitakachofuata ni kupoteza muda.
Na mpira ulivyoisha sikushangaa kuona mashabiki wa yanga kutaka kuwavamia lipuli sababu mtu kanunua tiketi, katumia nauli halafu anakutana na ujinga na ladha ya mpira mbovu.
Matola ibadilishe timu yako acheni umama, chezeni mpira hata twiga stars hawachezi hivyo.