Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,305
- 92,391
Wajameni nina msiba mzito ila sintokuwa wazi kuficha uhalisia, maana JF inatembelewa na wengi.
Kutokana na ukaribu na mtarajiwa wa huyu binti aliyefariki akiwa bado mbichi kabisa na kwakuwa Matola ni mtu ninaheshimika na kukubalika kiasi chake kwenye jamii inayonizunguka mimi ndiye nimekabidhiwa majukumu ya kuwa mratibu mkuu wa show hii ya burial Ceremony.
Sasa basi baada ya kupata ripoti ya mapato na matumizi ya ule msiba uliogharimu shillingi millioni 60, nimejihisi kama nataka kuharibiwa Credibility yangu, nililikataa hili jukumu lakini nimeshinikizwa kwamba there is no excuse, bado nina kumbu kumbu nzuri ya kina Mtitu walivyochakachuwa rambirambi ndio sababu namuomba mungu aniepushe na tamaa hii, maana mwitikio wa michango ni wa hali ya juu na washirika wanachangia kwa hali na mali.
Please Help me God.
R.I.P my in law.
Kutokana na ukaribu na mtarajiwa wa huyu binti aliyefariki akiwa bado mbichi kabisa na kwakuwa Matola ni mtu ninaheshimika na kukubalika kiasi chake kwenye jamii inayonizunguka mimi ndiye nimekabidhiwa majukumu ya kuwa mratibu mkuu wa show hii ya burial Ceremony.
Sasa basi baada ya kupata ripoti ya mapato na matumizi ya ule msiba uliogharimu shillingi millioni 60, nimejihisi kama nataka kuharibiwa Credibility yangu, nililikataa hili jukumu lakini nimeshinikizwa kwamba there is no excuse, bado nina kumbu kumbu nzuri ya kina Mtitu walivyochakachuwa rambirambi ndio sababu namuomba mungu aniepushe na tamaa hii, maana mwitikio wa michango ni wa hali ya juu na washirika wanachangia kwa hali na mali.
Please Help me God.
R.I.P my in law.