silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Kutokana na Vyanzo nilivyo vipitia hivi punde,, inaonesha Slaa mempiga magepu Kikwete majimbo ambayo Aslisimamisha wagombea wake wa Ubunge tu,, Lakini kwasasa kuna majimbo ambayo Kikwete wagombea wake walipita bila kupingwa niko Kikwete amepata kura nyingi sana na majimbo ambayo Wagombea wake wameshinda kwa kishindo amempiga gape Slaa kwa Asilimia nyingi Aproximatelly ni 70%-75%
Inaonesha Pamoja na kufanya jitihaada za kufanya mabadiliko lakini still kunawatu hawataki mabadiliko..
Kwa mtindo huo Kikwete ameshinda lakini haya si matokeo Rasmi kutoka NEC
Inaonesha Pamoja na kufanya jitihaada za kufanya mabadiliko lakini still kunawatu hawataki mabadiliko..
Kwa mtindo huo Kikwete ameshinda lakini haya si matokeo Rasmi kutoka NEC