Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,448
- 16,311
Nakuelewa sana sana.
Kanisa katoliki hawakuwa wajinga kuzuia mapadri na maaskofu kuoa. Yani it didnt happen out of blues, walikuwa wanajua wanachokifanya na ndii maana ndio wanaoiendesha dunia kwa sasa.
Wengi hawatakuelewa lakini tupo tunaokuelewa mkuu.
Unforgetable
Kanisa katoliki hawakuwa wajinga kuzuia mapadri na maaskofu kuoa. Yani it didnt happen out of blues, walikuwa wanajua wanachokifanya na ndii maana ndio wanaoiendesha dunia kwa sasa.
Wengi hawatakuelewa lakini tupo tunaokuelewa mkuu.
Unforgetable