<br />hawana hela ya kutoa ajira na hivyo wanachelewesha wasije kuwaacha mtaani huku shule hazina walimu kitendo ambacho kinaweza kuwachukiza wananchi
Hata unavyoandika unaonekana hazikutoshi. Selection ipi? Mtu anauliza matokeo ya mitihani wewe unajibu kuhusu selection. Maskini Tanzania watu wako wanaangamia kwa kukosa maarifaSelectnz r out..tangu muda mrefu..ww wa wap?