Watanzania hawapendi mchezo wa mpira bali wanapenda timu. Ndio maana hata uwanja ulikuwa haujai kwenye Simba Cup.Sijawahi kuna pamoja na ukubwa wa team kama Barca, Real, Man, Liver sijui city na wengine wengi wakaenda ugenini kucheza halafu watu waka support team ya wageni. Wenzetu mapenzi wanayo na team kubwa lakini full support team zao za nyumbani. Kwa hili tutabaki kuwa watumwa wa team hizi mbili. Kidogo miaka ile ya Pamba, CDA, Reli sijui Tukuyu hata RTC Kigoma team zilikuwa zinapendwa kwao. Penda Simba na Yanga sababu ya ukongwe ila wakija nyumbani kwenu shangilia team ya nyumbani nchi zote ndio utamaduni. Najuwa nitatukanwa humu ila ndio ukweli
89' Ametoka Rally Bwalya na ameingia Ajibu upande wa Simba SC
Dodoma Jiji FC 1-2 Simba SC
Simba Sc apunguze vyenga na pasi nyingi.
asiongezwe mkataba. Ame, Onyango na hilo beki jipya wanatoshaSure..
Next season wawa apumzishwe pia
asiongezwe mkataba. Ame, Onyango na hilo beki jipya wanatosha
Kila mtu anashabikia anachokipendaSijawahi kuna pamoja na ukubwa wa team kama Barca, Real, Man, Liver sijui city na wengine wengi wakaenda ugenini kucheza halafu watu waka support team ya wageni...
Kweli pasi nyingi halafu fupi ni kero ,namkubali sana wawa kwa pasi ndefuSimba Sc apunguze vyenga na pasi nyingi.