Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,427
- 85,872
No, sio suala la wise au researchers! Twende taratibu kwa lengo la kuelimishana si kubishana, tuseme basi ameteleza kuweka Neno uongo au vyovyote vile, he the rest ya alichoandika hakina mantiki? Jibu bila kuongozwa na hisia!!!Nidyo sababu sijamwita kuwa ni mwongo. Uwongo wake ni upi? Wise men are always precise on when to cast a stone. Kelele ni huo upuuzi wa kumwita researcher mwongo bila research!