Watoe na bajeti ya kununua wapinzaniMagufuli amelipa hasara taifa kwa kuwekeza katika biashara ya kununua wapinzani na haijalipa.
Na amelipa hasara kubwa taifa kwa kuwekeza katika miradi aliyoitaka yeye ambayo haikuidhinishwa na bunge.
Tunachotaka kusikia watanzania ni serikali mpya chini ya chama kipya.