Matokeo ya Utafiti wa matumizi ya Juisi Ya Miwa Waibua Hofu Kubwa Jijini Mwanza

Yaani miwa michafu ikamuliwe juice bila hata kuoshwa, usitarajie kupatwa na magonjwa ya kuhara, kweli? hili wala halishangazi....
 
Kampuni za juic za kusindika naona wanataka kuharib biashara za wanyonge
Ila dah wanapokua wanakamua ile miwa jamaa kama wananawa vile doh 😃😃😃
 
Niliwahi kunywa once cz ilikua company watu wengi kwny evening walk ila mhh yalinishinda

Mazingira...mhh barabarani vumbii,inakamuliwa na maganda,wanaosha kweli?!.sijawahi rudia..
 
Tujiandae na ujio wa bakhresa juisi ya miwa tamu tamu.

Ukweli me niliacha kunywa tangu nilipoona barafu zinazokuja changanyiwa kwenye juisi zimeletwa na mkokoteni mchafu
 
Kampuni za juic za kusindika naona wanataka kuharib biashara za wanyonge
Ila dah wanapokua wanakamua ile miwa jamaa kama wananawa vile doh
Na mimi ndio nilichokiona hicho,hii ni nia ya wenye viwanda vya vinywaji baridi kuharibu soko la watengeneza juice mitaani,mimi ninaponywea hizo juice za miwa watengenezaji wanavaa gloves tena zile nzito
 
Wenye akili Kubwa tu ndo wataelewa hawa watafiti wana maslah binafsi na mwenye/wenye viwanda vya juice.
Hii michezo ya kuchafuliana biashara /brands ipo sana ughaibuni.


Hushangai agents wa Samsung kusema iPhone inatumiwa zaidi na wanawake,tena wale mala*a.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom