hilbert126
New Member
- Feb 23, 2010
- 2
- 0
Huu ni uchafu ambao CCM imekuwa ikiufanya siku zote, Rais kikwete tangu aingie madarakani hakuna hata alichokifanya zaidi ya kusuluhisha lowasa na sitta. kazi ya pili aliyoifanya ni kuchekacheka tu ikulu kwani huyu ni mtu asiyefahamu wajibu hata kazi yake. Mfano mzuri ni alipokuwa ufaransa , aliuzwa swali kuwa kwa nini tanzania pamoja na kuwa na mali asili nyingi ya kutosha bado ni maskini? kwa nguvu zote yeye alijibu hajui ni kwanini.Mwandishi wa habari alijaribu kumuuliza tena kuwa hata wewe raisi wa nchi hujui? akakili kuwa hajui kabisa .Huyu ni raisi ambaye hajui hata wananchi anawaongoza wana hali gani, na hajui wanchi wake ni maskini au laa, jamani huyu hakutakiwa kuliongoza taifa ila kwa kuwa wanchi bado tumelala basi ccm ndo inapopiga bao .ni noma babu.