Elections 2010 Matokeo ya Urais kwa jimbo la Karatu yako wapi?

KIDUNDULIMA

JF-Expert Member
Aug 18, 2010
966
537
nimepita kwenye mtandao watume ya uchaguzi ili kujua matokeo ya urais jimboni humo lakini jimbo hilo na matokeo yake hayapo. nini kilichojiri mpaka matokeo yasiwekwe kwenye website ya NEC?
 
Hawakutaka kuonyesha, kwa sababu aligaragazwa kwa aibu kubwa mno. Siyo Karatu tu, hata baadhi ya majimbo ya mkoa wa kilimanjaro hawakuonyesha, Jimbo la Kyela ambalo ameshinda Mwakyembe kura za rais hawakutaka kuonyesha kwa kuwa kiukweli alipigwa bao.
 
Hawakutaka kuonyesha, kwa sababu aligaragazwa kwa aibu kubwa mno. Siyo Karatu tu, hata baadhi ya majimbo ya mkoa wa kilimanjaro hawakuonyesha, Jimbo la Kyela ambalo ameshinda Mwakyembe kura za rais hawakutaka kuonyesha kwa kuwa kiukweli alipigwa bao.

Katika jimbo loa Kyela, Kikwete alipata 23,000+ kwa 21,000+ za Dr. Slaa.
 
Katika jimbo loa Kyela, Kikwete alipata 23,000+ kwa 21,000+ za Dr. Slaa.

Haiwezekani Kikwete akapata kura nyingi kuliko Dr.Slaa Kyela kwasababu watu wa kule wanaamini kuwa huyu bwana hampendi mbunge wao na ndio maana hata akamteua Mwakipesile [aliyekuwa ameshindwa na mbunge wao kwenye kura za maoni za kugombea ubunge ] kuwa mkuu wa mkoa huo huo wa Mbeya ili amthibiti!! Kura hizo walichakachua lazima.
 
Matokeo yake ni ya kuchakachuliwa na wala hayana maana yoyote kwa sababu NEC walijitungia majibu waliyoyataka..............
 
Matokeo yake ni ya kuchakachuliwa na wala hayana maana yoyote kwa sababu NEC walijitungia majibu waliyoyataka..............
Ni lazima kupigania kura zote hizo ziingizwe katika idadi kwani hii inagusa idadi ya wabunge wa viti maalumu si suala la kuacha lipite hivi hivi.Vilevile sitashangaa kuona hiyo asilimia ikiwa ni 30 badala ya hiyo 61 ya kupikwa.
 
Katika jimbo loa Kyela, Kikwete alipata 23,000+ kwa 21,000+ za Dr. Slaa.

Hapana Butola, kura za Kyela kutoka jimboni zilionyesha kuwa Dr. Slaa alipata 28,567 wakati Kikwete alipata 18,381, lakini zilipofika tume ya uchaguzi wakachakachua kibabe. Kama walivyofanya kule Hai.
 
nimepita kwenye mtandao watume ya uchaguzi ili kujua matokeo ya urais jimboni humo lakini jimbo hilo na matokeo yake hayapo. nini kilichojiri mpaka matokeo yasiwekwe kwenye website ya NEC?

Is not only Karatu, majimbo yote ambayo CCM wamehenyeshwa hawajaweka matokeo kwenye website yao.Kama wameweka ni yale yaliyokuwa yamechakachuliwa. Ni wizi mtupu.Yale ambayo CCM walikuwa wanashinda walikuwa wakiya-post haraka sana kwenye website. Ilikuwa kuwafanya watu wasijue kinachoendelea.
Mimi nimeshasema this can be one of the evidences za kuwabana NEC. Kwanini hawajayaweka kwenye website, hapa walikuwa wanaficha baadhi ya figures kuwa-confuse Watz.
 
Back
Top Bottom