KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 540
nimepita kwenye mtandao watume ya uchaguzi ili kujua matokeo ya urais jimboni humo lakini jimbo hilo na matokeo yake hayapo. nini kilichojiri mpaka matokeo yasiwekwe kwenye website ya NEC?
Hawakutaka kuonyesha, kwa sababu aligaragazwa kwa aibu kubwa mno. Siyo Karatu tu, hata baadhi ya majimbo ya mkoa wa kilimanjaro hawakuonyesha, Jimbo la Kyela ambalo ameshinda Mwakyembe kura za rais hawakutaka kuonyesha kwa kuwa kiukweli alipigwa bao.
Katika jimbo loa Kyela, Kikwete alipata 23,000+ kwa 21,000+ za Dr. Slaa.
Ni lazima kupigania kura zote hizo ziingizwe katika idadi kwani hii inagusa idadi ya wabunge wa viti maalumu si suala la kuacha lipite hivi hivi.Vilevile sitashangaa kuona hiyo asilimia ikiwa ni 30 badala ya hiyo 61 ya kupikwa.Matokeo yake ni ya kuchakachuliwa na wala hayana maana yoyote kwa sababu NEC walijitungia majibu waliyoyataka..............
Katika jimbo loa Kyela, Kikwete alipata 23,000+ kwa 21,000+ za Dr. Slaa.
nimepita kwenye mtandao watume ya uchaguzi ili kujua matokeo ya urais jimboni humo lakini jimbo hilo na matokeo yake hayapo. nini kilichojiri mpaka matokeo yasiwekwe kwenye website ya NEC?