Mauza uza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2008
- 2,097
- 1,363
Jamani vipi matokeo ya urais bongooo????kuna nini kinaendelea????Tumepiga kura siku moja na Brazil,wenzetu wameshapata rais wao na kura zilihesabiwa na kupatikana mshndi just in two days na population yao ni kwenye 200m wakati sie tupo kwenye 40m.....TUME YA UCHAGUZI MNAFICHA NINI????Na urongo zaidi ETI wasimamizi wa kimataifa wanasema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki.
Vipii matokeo ya urais yachukue more tha 3 days!!!!!:A S-baby:
Vipii matokeo ya urais yachukue more tha 3 days!!!!!:A S-baby: