KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Kwa taarifa nilizozipata hivi punde kutoka kwa mtu wangu wa karibu sana.Katika uchaguzi uliokuwa unafanyika wa udiwani wa kata ya stendi kuu Chama cha bemokrasia na maendeleo chadema kimeibuka kidedea baada ya kuwabwaga chini wagombea wenzake wa chama cha Mapinduzi CCM na CUF