Elections 2010 Matokeo ya UDIWANI BUKOBA Mjini

Kenge (Eng)

JF-Expert Member
Dec 7, 2006
543
156
Habari ndio hiyo. KATA 8 matokeo yametangazwa 4 CCM - 4 Upinzani
1. Kata ya Ijugayondo ilikotua Elcopter ya Slaa - CHADEMA (ilikuwa CCM)
2. Kata Kibeta kwa Lwakatare - CHADEMA (ilikuwa CUF)
3. Kata Rwamishenye - CHADEMA (ilikuwa CUF)
4. Kata Bilele - CUF (ilikuwa CUF)
5. Kata Kagondo - CCM (Anatory Amani aliyetemwa kuwa sio raia na CCM wakat huo akiwa m/kiti wa CCM wa Mkoa. (ilikuwa CCM)
6. Kata Hamgembe - CCM (ilikuwa CUF)
7. Kata nyanga - CCM (ilikuwa CCM)
8. Kata Miembeni - CCM. (ilikuwaCCM)
 
Habari ndio hiyo. KATA 8 matokeo yametangazwa 4 CCM - 4 Upinzani
1. Kata ya Ijugayondo ilikotua Elcopter ya Slaa - CHADEMA (ilikuwa CCM)
2. Kata Kibeta kwa Lwakatare - CHADEMA (ilikuwa CUF)
3. Kata Rwamishenye - CHADEMA (ilikuwa CUF)
4. Kata Bilele - CUF (ilikuwa CUF)
5. Kata Kagondo - CCM (Anatory Amani aliyetemwa kuwa sio raia na CCM wakat huo akiwa m/kiti wa CCM wa Mkoa. (ilikuwa CCM)
6. Kata Hamgembe - CCM (ilikuwa CUF)
7. Kata nyanga - CCM (ilikuwa CCM)
8. Kata Miembeni - CCM. (ilikuwaCCM)
Mchuano ni mkali sana lakini hayo ni mapinduzi huenda Chadema na CUF wataongoza jimbo hilo.
 
Back
Top Bottom