Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

C. O ana shallow knowledge kwenye baadhi ya vitu mfano parasitology, medical microbiology.. Pathology huo ni mfano tu C. O anahtaji miaka sita tena kusoma Bachelor

C. O ana uwezo wa kutibu lakini uwezo wake hautofanana na MD, utofauti wao utakuja pale ambapo CO atakua amefanya kazi muda mrefu... Na more experience kuliko new MD...

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sahihi mkuu nakubaliana na wewe katika hili kwamba MD lazima awe na maarifa mengi kuliko CO
 
Kwani lengo ni hizo steps ama lengo ni kutibu hiyo typhoid ?

Hizo steps ni njia tu ya kufikia diagnosis na kutibu tatizo lenyewe,lengo hasa ni kujua ugonjwa na kuutibu.

Kwa mantiki hiyo CO na MD wana lengo moja la kutibu na huo ndio udaktari wemyewe
Unazungumzia lengo au uwezo wa kufikia diagnosis?
 
Huwa nasikia majina haya
1: mkunga
2: nesi
3 :tabibu
4: daktari
KWA AKILI yangu Hawa wote wanahusika na afya za binadamu, pia kwenye ujenzi Kuna
1: Technician
2:mhandisi
SWALI: KWANINI KUNA UTOFAUTI WA MAJINA KWA MFANO KWA NINI WASIITWE WOTE WAHANDISI? badala yake wakaweka technician?
Kwenye jeshi Kuna Luteni na komandoo, naamini Luteni hawezi kujiita komandoo wakati hajawahi hata kuhudhuria hayo mafunzo ya ukomandoo, ingawa wote Ni Askari. Ninyi CO Ni Askari mgambo na Hawa MD Ni Askari kamili. Na CO KWANI MMENUNA?
 
Medicine doctor tunasoma miaka mitano kuna baadhi ya vitu CO anakuwa hafahamu mpaka na yeye akasome miaka mingine mitano... Vitu vingi sio vichache... Ingawa experience ya kazi huwa inawabeba ma co wengi hupata experience ya kazi.. Unafahamu kwamba baadhi ya manesi wakongwe wanaweza kufanya oparesheni kabsa ambayo kijana mbichi wa Md hajaizoea.... Kozi za afya ni kutegemeana

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
fact
 
Hizo mbwembwe hazina msaada kwa wagonjwa..ingia night shift ukatibu wagojwa..MD ni CO aliyechangamka..unless mmoja awe anaua...ndio tutawatofautisha.

#MaendeleoHayanaChama
Mimi sijafanya kazi hospital lakini malezi yangu na hospitali huwezi kuyatenganisha, Nilikuwa nikimtembelea mzazi wodini(kazini) nikimkuta busy namsaidia kazi, nafahamu umuhimu wa nesi katika kutibu wagonjwa, Dakitari anapita round kwa masaa, nesi yuko na mgonjwa wakati wote, Hiyo night shift unayoisema najua ladha yake, Nesi ana kazi KUBWA kuliko hata huyo CO na MD.
 
Medicine doctor tunasoma miaka mitano kuna baadhi ya vitu CO anakuwa hafahamu mpaka na yeye akasome miaka mingine mitano... Vitu vingi sio vichache... Ingawa experience ya kazi huwa inawabeba ma co wengi hupata experience ya kazi.. Unafahamu kwamba baadhi ya manesi wakongwe wanaweza kufanya oparesheni kabsa ambayo kijana mbichi wa Md hajaizoea.... Kozi za afya ni kutegemeana

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kimsingi kuna makosa , CO hatakiwi soma miaka mitano anapotaka chukua degree, miaka miwil mitatu nyuma ilikuwepo hoja kwamba mtu kama amepitia CO basi wakat anaenda MD asome miaka mitatu na kama itakua ngumu basi waendelee na level zao hizo hizo za NTA levels

Upande wa Nurses nakubaliana nawe, nimeliona wakati niko clinical rotations, wanapiga kazi na wana uwezo mkubwa sana , alafu unakuta ana diploma tu ,sijui kwann wanalipwa mishahara midogo , wanapiga kazi sana hawa watu kuliko doctors
 
C. O ana shallow knowledge kwenye baadhi ya vitu mfano parasitology, medical microbiology.. Pathology huo ni mfano tu C. O anahtaji miaka sita tena kusoma Bachelor

C. O ana uwezo wa kutibu lakini uwezo wake hautofanana na MD, utofauti wao utakuja pale ambapo CO atakua amefanya kazi muda mrefu... Na more experience kuliko new MD...

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hizi zote CO wanasoma pia, na sio kwamba CO anakua shallow, sio lugha sahihi, ni MD anakua little bit deeper , hilo hatukatai ila kwenye kazi wanafanya kitu kimoja
 
MD na CO hawakaribiani hata kidogo. Muulize CO aliyesoma MD atakwambia.

Ma CO wengi hawajui msingi mzima wa elimu ya Afya. Ni kama watu wa kubahatishabahatisha ambao baada ya muda wanakuwa vizuri kutokana na uzoefu. Kuna mambo wanafanya na mtu anapona lakini msingi mzima wa elimu ya Afya hawana. Hekaya nyingi za kiafya nchi hii zimezalishwa na ma CO.
 
MD na CO hawakaribiani hata kidogo. Muulize CO aliyesoma MD atakwambia.

Ma CO wengi hawajui msingi mzima wa elimu ya Afya. Ni kama watu wa kubahatishabahatisha ambao baada ya muda wanakuwa vizuri kutokana na uzoefu. Kuna mambo wanafanya na mtu anapona lakini msingi mzima wa elimu ya Afya hawana. Hekaya nyingi za kiafya nchi hii zimezalishwa na ma CO.
Umeongelea uzoefu... Na upo sahihi kabisa...amateur MD na CO watakua sawa sababu ya uzoefu

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kimsingi kuna makosa , CO hatakiwi soma miaka mitano anapotaka chukua degree, miaka miwil mitatu nyuma ilikuwepo hoja kwamba mtu kama amepitia CO basi wakat anaenda MD asome miaka mitatu na kama itakua ngumu basi waendelee na level zao hizo hizo za NTA levels

Upande wa Nurses nakubaliana nawe, nimeliona wakati niko clinical rotations, wanapiga kazi na wana uwezo mkubwa sana , alafu unakuta ana diploma tu ,sijui kwann wanalipwa mishahara midogo , wanapiga kazi sana hawa watu kuliko doctors
Kwa hiyo ulitaka ma nurse walipwe hela nyingi kuliko sisi....mimi ni specialist so far

Ila naona hapa una personal issues zako tu mkuu na we must agree to disagree

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kimsingi kuna makosa , CO hatakiwi soma miaka mitano anapotaka chukua degree, miaka miwil mitatu nyuma ilikuwepo hoja kwamba mtu kama amepitia CO basi wakat anaenda MD asome miaka mitatu na kama itakua ngumu basi waendelee na level zao hizo hizo za NTA levels

Upande wa Nurses nakubaliana nawe, nimeliona wakati niko clinical rotations, wanapiga kazi na wana uwezo mkubwa sana , alafu unakuta ana diploma tu ,sijui kwann wanalipwa mishahara midogo , wanapiga kazi sana hawa watu kuliko doctors
Kama AMO ambayo ipo juu ya CO anafanya 5yrs kwanini unahisi kuna makosa yamefanyika kwa CO’s?
 
Kuna watu wakisoma MD wanaona wengine waliosomea afya ni takataka..leo hii et C.O si daktari sijui yeye hajasoma hizo anatomy,physiology na pharmacology na zinginezo..ili kutibu magonjwa..acheeni roho mbaya za chuki..wote mnajenga nyumba moja mbona ku nyanganyana fito..kisa digrii.

#MaendeleoHayanaChama
Tena uwakute wamekuwa wafawidhi sas, most of time ni ofisini tu
 
Kwa hiyo ulitaka ma nurse walipwe hela nyingi kuliko sisi....mimi ni specialist so far

Ila naona hapa una personal issues zako tu mkuu na we must agree to disagree

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Specialist might deserve more hilo halina shida na sio mada, ila nurse na MD , sion sababu ya wao kupishana mshahara, hawa watu wanafanya kazi kubwa sana

Elimu yao huenda n nyepesi sana ila kwenye utendaji wa kazi n kama punda
 
Kama AMO ambayo ipo juu ya CO anafanya 5yrs kwanini unahisi kuna makosa yamefanyika kwa CO’s?
CO ana graduate in three years, ila majukumu anayafanya kazini ni hayo hayo anayofanya MD awapo kazini

Jambo linalomshinda CO most likely MD nae hana ujanja wanasubiriwa wenye elimu zao hao kina Baba Swalehe

Elimu ya CO na MD hua ni general tu , issue iliyokuwepo ambayo i hope miaka ijayo itakuja kua solved ni kwann CO akasome tena miaka mitano wakati miaka hiyo hiyo mitatu tayar anafanya kazi inayofanywa na MD?

Walichokua wanataka watu wa CO ni elimu yao itenganishwe na MD's , waendelee na NTA levels zao hivyo hivyo na muda wa masomo upunguzwe from 5 to three years
 
Mjadala huu umeonesha jinsi vijana wanavyopenda kujikweza na kutetea upuuzi.

Kila kazi ina umuhimu wake na ngazi zake. Nitatoa mfano mdogo, katika Physics kuna Newton's laws of motion. Hii hufundishwa Olevel, Alevel, Bachelor, Masters hata PhD katika level tofauti tofauti.

Siamini kuwa kijana wa Olevel anaweza kusema ni mjuzi sawa na aliyefunzwa katika PhD level. Kama akiwa na fikira potofu kama hizo, basi hafai.

Vile vile, pamoja na kuwa Co anafunzwa Anatomy basi anaifahamu kuliko MD. La hasha, huyu anajifunza kutokana na level yake wakati MD anakwenda ndani zaidi na majukumu yake ni tofauti na CO. CO anafunzwa na MD, wakati MD anafunzwa na mtu mwenye masters. Inasikitisha hata jamaa hapo juu analinganisha Nurse na Daktari (MD), ni aibu ya mwaka kwani kila mmoja ana majukumu yake tofauti.

Heshimu profession za wenzenu na kubali aliyekuzidi amekuzidi. Mtu akimaliza six (PCB) akifaulu vizuri anajiunga na MD. Asipofaulu anarudi kusoma Clinical Medicine ili apate qualifications za kusoma MD baada ya kumaliza Diploma yake. Utawezaje kuwalinganisha watu hao kama kichwa chako hakina hitilafu. Kwaheri
 
Back
Top Bottom