slatcher
Senior Member
- Aug 5, 2016
- 132
- 208
Co sio Daktari, Ukitaka udaktari lazima usome MdAMO wengi ni walimu wa C.O na miongozi inaruhusu AMO kufundisha C.O..............by the way unaonesha ujinga wapi waziwazi hapa jukwaani,AMO anaanza na TGHS C wakati C.O anaanza na B.......sio tu mshahara hata kieliemu A.M.O ni kama advanced Diploma