Tume inashangaza sana!! Hivi inakuwaje matokeo ya Longido au Mpanda yanapatikana kabla ya Dar, Mwanza, Moshi, Arusha, Mbeya na miji kibao yenye infrastracture nzuri.
Hamjui kwamba mnapumbazwa ili msahau matokeo ya URAIS na kukimbilia ya UBUNGE.... Hapa hapa ndio Majangili wa nchi hii wanapopewa mwanya wa kuchakachua matokeo.... Nchi imeishauzwa hii....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.