OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 227
Ndiyo wakuu ! Hatimae mchakato wa uchaguzi wa serikali ya wanachuo ktk chuo kikuu cha St. Augustine -Mwanza umekwisha jana. Matokeo ni kuwa mgombea Antony Nestory (Jibaba) alipata kura 1,075 na Godlisten Malisa (Dogojanja) alipata kura 2,424. Uchaguzi huo ulitawaliwa na itikadi za vyama kama ilivyo kawaida ya vyuo vikuu. Kwa kifupi uchaguzi ulikuwa kati ya Magambazi Versus Cdm. Naomba kuwasilisha.