zittokabwe:Mabomu yanapigwa. Hali mbaya sana zittokabweuh yanapigwa mabomu kila mtu hoi machozi tu. Tumo hapa kambini kwetu Planetel Hotel ni machozi tu
Stop Texts Tweets Favs Msgs About zittokabwe Duh yanapigwa mabomu kila mtu hoi machozi tu. Tumo hapa
kambini kwetu Planetel Hotel ni
machozi tu zittokabwe Mabomu yanapigwa. Hali mbaya sana zittokabwe @shurufu irregularities nyingi sana zittokabwe @Mwanakili90 kuna vurugu zatokea. zittokabwe @chiefezra our count gives us 45% and ccm 49%.
Irregularities are mountanious
Mm nashauri sisi wana jf walio weleji wa Tecknolojia tujaribu kutengeneza system ambayo itaweza kusaidia Nec Kwenye kuwaisha matokeo,ili kuepuka uchakachuaji,maana kuchelewesha hvyi hata mtu akishinda au kushindwa huwa anaamini kuwa haki haijatendeka,tunazidiwa na hata zambia jamani hii ni aibu kubwa.
Kwa utaratibu wa zoezi la kuhesabu kura, kimsingi wanachokifanya tume ya uchaguzi ni kutimiza wajibu tu kwa kuwa hawawezi kuja na matokeo tofauti na yale ambayo tayari vyama vya siasa vilivyoshiriki uchaguzi huo wanayo kupitia mawakala wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.