YAMESHATOKA JANA TAREHE 08.01.2017Sasa shule zinafunguliwa wazazi tunawaandalia vitabu gani wakati matokeo bado?
Mbona hii wizara inarudi nyuma jamani?
Prof. Ndalichako unafanya kipi sasa?
Yametoka ila hayafunguki,YAMESHATOKA JANA TAREHE 08.01.2017