OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
viongozi karibu wote wa serikali wamehudhuria matokeo ya sensa ya watu na makazi. Lakini makamu wa kwanza hayupo, hii imekaaje?. Hausiki au yuko safari.
kabla ya kuuliza fanya kauchunguzi kadogo ujue yupo nchini au la!