texaz mc
JF-Expert Member
- Jan 15, 2016
- 371
- 203
Habari zenu wana jf.
Leo nimeamua kulileta hili suala mbele yenu. Ni kuhusu matokeo ya rufaa kwa ujumla bila kujali ni ya mwaka gani, Matokeo ya rufaa karibu ya miaka yote sijawahi ona mtu aliye faulu. Yaani unakuta mtu alitaka afanyiwe rufaa kwa masomo matano ambayo yote alipata F, but matokeo hayabadiliki kabisaa unaweza kukuta somo moja tu ndilo limebadilika tena si lwa interval kubwa. Mfano alipata F baada ya rufaa akapata D.
Je, ni kweli hao wanaosahihisha mitihani kwa ajili ya rufaa wapo makini??
But end of all nashauri wanafunzi kukubali matokeo sahihi wanayopata.
Matokeo ya rufaa ya mwaka huu hakuna hata mmoja ambaye angalau hata somo moja limebadilika.
Leo nimeamua kulileta hili suala mbele yenu. Ni kuhusu matokeo ya rufaa kwa ujumla bila kujali ni ya mwaka gani, Matokeo ya rufaa karibu ya miaka yote sijawahi ona mtu aliye faulu. Yaani unakuta mtu alitaka afanyiwe rufaa kwa masomo matano ambayo yote alipata F, but matokeo hayabadiliki kabisaa unaweza kukuta somo moja tu ndilo limebadilika tena si lwa interval kubwa. Mfano alipata F baada ya rufaa akapata D.
Je, ni kweli hao wanaosahihisha mitihani kwa ajili ya rufaa wapo makini??
But end of all nashauri wanafunzi kukubali matokeo sahihi wanayopata.
Matokeo ya rufaa ya mwaka huu hakuna hata mmoja ambaye angalau hata somo moja limebadilika.