Matokeo ya Nagu yakibatilishwa, Dr. Slaa kugombea?

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,469
728
Dr.+Slaa.bmp


Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kina mpango wa kukata kiu ya ‘waliomisi’ uwepo wa Dk. Willibrod Slaa bungeni kwa kumuingiza kwenye uchaguzi mdogo utakaofanyika wakati wowote.

CHADEMA, kinajipanga zaidi kumuingiza Slaa bungeni kupitia Jimbo la Hanang ambalo tayari kimekwishawasilisha pingamizi mahakamani kutaka matokeo yaliyomtangaza Mary Nagu (CCM) mshindi yabatilishwe.

Habari za uhakika zinasema kuwa endapo mahakama itabatilisha uchaguzi wa Hanang, Slaa atagombea katika uchaguzi mdogo na kuna uhakika wa asilimia mia moja kwamba atashinda.

Mkurugenzi wa Vijana wa CHADEMA alilikaririwa akisema mjini Dodoma hivi karibuni kuwa aliyegombea Hanang, Rose Kamili tayari ni Mbunge Viti Maalum, kwahiyo Slaa anaweza kugombea na kushinda.

“Nafasi ni kama hizo, kuna uchaguzi mdogo unakuja, Slaa akigombea sehemu yoyote atashinda,” alisema Mbunge wa ubungo mheshimiwa John Mnyika
 

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
220,759
728,548
"Nafasi ni kama hizo, kuna uchaguzi mdogo unakuja, Slaa akigombea sehemu yoyote atashinda," alisema Mbunge wa ubungo mheshimiwa John Mnyika

Putting the horse before the cart...................who knows mahakama itatengua matokeo hayo?.....na harakati za uraisi sasa je? Hivi Dr. Slaa anaishi karatu au Hanang? Hii sasa si itakuwa Dr. Slaa naye kajidhalilisha na kuwa Capertbagger............The how low can Chadema now stoops?............
 

Ntemi Kazwile

JF-Expert Member
May 14, 2010
2,185
307
That will be too LOW for Dr Slaa, I doubt if Chadema will allow that to happen, he should remain free to build the party. He has built an aura that can carry Chadema far and better than him becoming an MP, he should focus more on a national level and leave this seat for one of their Members from Hannang
 

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,469
728
Putting the horse before the cart...................who knows mahakama itatengua matokeo hayo?.....na harakati za uraisi sasa je? Hivi Dr. Slaa anaishi karatu au Hanang? Hii sasa si itakuwa Dr. Slaa naye kajidhalilisha na kuwa Capertbagger............The how low can Chadema now stoops?............
Ubunge muu as long as you are Tanzanian na wananchi wanakukubali kuwa utawapigania katika kuleta maendeleo unagombea jimbo lolote sio lazima uwe mkazi wa jimbo husika
 

STEIN

JF-Expert Member
Aug 29, 2010
1,765
544
Hii ni nzuri kwa kuwa kinachotakiwa ni kuongeza idadi ya wabunge wa chadema, ingawaje kwa upande fulani slaa anatakiwa awe huru kuijenga chama na kufa operesheni Makazi Bora, Elimu Bure, Afya bure

peoples power
 

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
Ni mpango mzuri lakini unahitaji mkakati wa hali ya juu sana kwa kuwa Dr Slaa akishindwa ubunge umaarufu wake unaweza kushuka. Kesi iko mahakamani hakuna anaejua kama chadema watashinda kwa hali hiyo jimbo la Hanang haliwezi kuzungumzwa kama vile kama liko wazi.
 

Somi

JF-Expert Member
Feb 7, 2009
2,242
2,418
Ccm wanaweza kutumia kila mbinu kummaliza dokta ktk siasa za kitaifa kwa kuiba kura tena hanang dokta akadondoka ndio ukawa mwanzo wa mwisho wa umaarufu wake, aendelee kudai kura zake zilizoibwa za uraisi ili tupate tume huru ya uchaguzi na katiba mpya ,aachane na masuala ya ubunge.
 

samirnasri

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
1,388
213
Kukijenga chama kitu gani kwan akiwa bungen hawez kukijenga chama? Mbona umaarufu wake kaupatia humohumo bungeni. Nafasi ikipatikana akagombee hata kama sio arusha nina uhakika atashinda kama mrema alivyolichukua jimbo la temeke. Suala la kusema wataiba kura wataanzia wapi wakati chama chote kitakua eneo la tukio! Nadhani hata akiingia bungeni ataendelea kukijenga chama na atakua na uhuru wa kuzungumza zaidi bila vitisho vya kushtakiwa kwa sababu ibara ya 100 ya katiba inamlinda yeye kama mbunge.
 

MwanaCBE

JF-Expert Member
Sep 23, 2009
1,773
801
Dr.+Slaa.bmp


Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kina mpango wa kukata kiu ya waliomisi uwepo wa Dk. Willibrod Slaa bungeni kwa kumuingiza kwenye uchaguzi mdogo utakaofanyika wakati wowote.

CHADEMA, kinajipanga zaidi kumuingiza Slaa bungeni kupitia Jimbo la Hanang ambalo tayari kimekwishawasilisha pingamizi mahakamani kutaka matokeo yaliyomtangaza Mary Nagu (CCM) mshindi yabatilishwe.

Habari za uhakika zinasema kuwa endapo mahakama itabatilisha uchaguzi wa Hanang, Slaa atagombea katika uchaguzi mdogo na kuna uhakika wa asilimia mia moja kwamba atashinda.

Mkurugenzi wa Vijana wa CHADEMA alilikaririwa akisema mjini Dodoma hivi karibuni kuwa aliyegombea Hanang, Rose Kamili tayari ni Mbunge Viti Maalum, kwahiyo Slaa anaweza kugombea na kushinda.

Nafasi ni kama hizo, kuna uchaguzi mdogo unakuja, Slaa akigombea sehemu yoyote atashinda, alisema Mbunge wa ubungo mheshimiwa John Mnyika
Huu ni uwongo.
 

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Mar 8, 2010
7,270
670
Dr.+Slaa.bmp


Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kina mpango wa kukata kiu ya ‘waliomisi' uwepo wa Dk. Willibrod Slaa bungeni kwa kumuingiza kwenye uchaguzi mdogo utakaofanyika wakati wowote.



CHADEMA, kinajipanga zaidi kumuingiza Slaa bungeni kupitia Jimbo la Hanang ambalo tayari kimekwishawasilisha pingamizi mahakamani kutaka matokeo yaliyomtangaza Mary Nagu (CCM) mshindi yabatilishwe.

Habari za uhakika zinasema kuwa endapo mahakama itabatilisha uchaguzi wa Hanang, Slaa atagombea katika uchaguzi mdogo na kuna uhakika wa asilimia mia moja kwamba atashinda.

Mkurugenzi wa Vijana wa CHADEMA alilikaririwa akisema mjini Dodoma hivi karibuni kuwa aliyegombea Hanang, Rose Kamili tayari ni Mbunge Viti Maalum, kwahiyo Slaa anaweza kugombea na kushinda.

"Nafasi ni kama hizo, kuna uchaguzi mdogo unakuja, Slaa akigombea sehemu yoyote atashinda," alisema Mbunge wa ubungo mheshimiwa John Mnyika

you-have-failed-11.jpg
 

Gwallo

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
3,130
3,559
Ni kweli kwamba kukosekana kwa Dr.Slaa bungeni kutapwaya kidogo lakini kufikiria Dr.Slaa agombee ubunge mahali popote pale nchini ni ufinyo wa mawazo. Nikuhakikishie kuwa haya matokeo ya uchaguzi yaliangaliwa pande zote + or - hivyo Dr Slaa atabakia kufungua matawi mengi ya chadema nchini na kuimarisha chama na si vinginevyo.
 

matawi

JF-Expert Member
Mar 29, 2010
2,053
241
Good idea kwa vile unaongeza nguvu yako huku unapunguza wapinzani ssm. Kuwa na LOW na HIGH mswano sana maana hakuna kukwama
 

Ng'azagala

JF-Expert Member
Jun 7, 2008
1,286
218
Dr. Slaaa apewe uenyekiti wa Chadema ili aweze kujenga chama. apate muda wa kuzunguka nchi zima kufungua matawi na kupanga safu za wanachama waadilifu. aachane na kufikiria kurudi bungeni kwa sasa
 

MovingForward

JF-Expert Member
Nov 10, 2009
489
49
Dr. Slaaa apewe uenyekiti wa Chadema ili aweze kujenga chama. apate muda wa kuzunguka nchi zima kufungua matawi na kupanga safu za wanachama waadilifu. aachane na kufikiria kurudi bungeni kwa sasa

BIG NO. Abakie kuwa Mtendaji Mkuu wa CHADEMA
 

VoiceOfReason

JF-Expert Member
Nov 4, 2010
5,195
1,338
Jamani Ni haki ya Mtanzania na Mpiganaji yoyote kuona ni wapi anaweza kuwatetea wananchi kwa ufasaha zaidi.... kwahiyo kama Dr. Slaa anaona ataweza kupeleka mapambano bora akiwa Bungeni "Who are we to say otherwise" na kazi ya Chama Chadema ni kumsimamisha mgombea ambaye ana uwezo wa kushinda katika jimbo...... There is no such thing kwamba itakuwa bad move kwa Chadema....
 

Nyodo1

Member
Nov 6, 2010
75
2
It is better we leave this for the man to decide himself. Dr. Is smart enough to judge and convice us anyhow.
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom