Elections 2010 MATOKEO YA MUSOMA MJINI - Taswira ya CCM ilivyochakachua 2005

Mr. Clean

Senior Member
Aug 7, 2006
194
44
HONGERA SANA Mhe. V. K. Nyerere

Takwimu za matokeo ya Musoma Mjini zimedhihirisha udhaifu wa kauli ya JK kuwa CCM haiibi kura...!

Mwaka 2005 Mathayo alishinda ubunge kwa kura takribani 21elf, wananchi walopiga kura walikuwa takribani 40,000
Mwaka 2010 Nyerere ameshinda ubunge kwa takriban kura 21elf, wananchi waliopiga kura ni takriban 35,000

Sasa hapo wawezaona kuwa mwaka huu pamoja na mwamko wa kujitokeza kwa vijana wengi pia ikizingatiwa daftari jipya kunaongezeko la vijana: Je, yawezekana kweli idadi ya wapiga kura ipungue leo?

Jibu ni HAPANA: Kilichofanyika 2005, idadi huenda ilikuwa chini ya 35elf lakini CCM wakaongeza kura hewa zaidi ya 10elf.

Kilichofanyika 2010 idadi ni hiyo 40elf, LAKINI kwakuwa wanaMusoma walishakuwa alerted na UCHAKACHUAJI wakawa ngangari, hivyo hakuna kura hewa zilizoingizwa.

ANGALIZO: Ili nchi hii ikombolewe haswa toka mikononi mwa CCM (Kwani ni dhahiri JK atachakachua tuu huko Vijijini na akashinda kwa 52%) hivyo 2015 upinzani wahitajika kuwa ngangari na zaidi ya hapo!

MUNGU IBARIKI TANZANIA na WATU WAKE!
 
HONGERA SANA Mhe. V. K. Nyerere

Takwimu za matokeo ya Musoma Mjini zimedhihirisha udhaifu wa kauli ya JK kuwa CCM haiibi kura...!

Mwaka 2005 Mathayo alishinda ubunge kwa kura takribani 21elf, wananchi walopiga kura walikuwa takribani 40,000
Mwaka 2010 Nyerere ameshinda ubunge kwa takriban kura 21elf, wananchi waliopiga kura ni takriban 35,000

Sasa hapo wawezaona kuwa mwaka huu pamoja na mwamko wa kujitokeza kwa vijana wengi pia ikizingatiwa daftari jipya kunaongezeko la vijana: Je, yawezekana kweli idadi ya wapiga kura ipungue leo?

Jibu ni HAPANA: Kilichofanyika 2005, idadi huenda ilikuwa chini ya 35elf lakini CCM wakaongeza kura hewa zaidi ya 10elf.

Kilichofanyika 2010 idadi ni hiyo 40elf, LAKINI kwakuwa wanaMusoma walishakuwa alerted na UCHAKACHUAJI wakawa ngangari, hivyo hakuna kura hewa zilizoingizwa.

ANGALIZO: Ili nchi hii ikombolewe haswa toka mikononi mwa CCM (Kwani ni dhahiri JK atachakachua tuu huko Vijijini na akashinda kwa 52%) hivyo 2015 upinzani wahitajika kuwa ngangari na zaidi ya hapo!

MUNGU IBARIKI TANZANIA na WATU WAKE!
Very good analysis mapambano bado yanaendela mpaka kieleweke
 
Back
Top Bottom