Matokeo ya mtihani wa kidato cha sita (acsee) 2011 yametoka

Kamakabuzi

JF-Expert Member
Dec 3, 2007
2,859
1,301
Kuna uhuni fulani katika website ya necta. Nilipofungua jana saa za jioni nikakutana na message ifuatayo:
THE NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA (ACSEE) 2011 YAMETOKA
Bofya hapa| | KWA WATEJA WA VODACOM KUPATA MATOKEO KWA UJUMBE MFUPI (SMS) TUMA UJUMBE KWENDA 15311 KATIKA MUUNDO UFUATAO -- MATOKEOXNAMBA YA KITUOXNAMBA YA MTAHINIWA MFANO: MATOKEOXS0000X0500| | --> USAJILI WA ACSEE 2012 UMEANZA RASMI Bofya hapa
Lakini kila nikibofya narudi kwenye main page au sehemu ya pili naenda kwenye usajili. Nimetuma sms kama ilivyoelekezwa hapo juu, nikaliwa tshs 400 na sikupata jibu lolote. Na leo ni hivyo hivyo!
Je kuna umakini wowote katika website hii?
Nawezaje kupata shs 400 zangu ?
Natumia mozilla firefox
 
Kuna uhuni fulani katika website ya necta. Nilipofungua jana saa za jioni nikakutana na message ifuatayo:
THE NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA SITA (ACSEE) 2011 YAMETOKA
Bofya hapa| | KWA WATEJA WA VODACOM KUPATA MATOKEO KWA UJUMBE MFUPI (SMS) TUMA UJUMBE KWENDA 15311 KATIKA MUUNDO UFUATAO -- MATOKEOXNAMBA YA KITUOXNAMBA YA MTAHINIWA MFANO: MATOKEOXS0000X0500| | --> USAJILI WA ACSEE 2012 UMEANZA RASMI Bofya hapa
Lakini kila nikibofya narudi kwenye main page au sehemu ya pili naenda kwenye usajili. Nimetuma sms kama ilivyoelekezwa hapo juu, nikaliwa tshs 400 na sikupata jibu lolote. Na leo ni hivyo hivyo!
Je kuna umakini wowote katika website hii?
Nawezaje kupata shs 400 zangu ?
Natumia mozilla firefox

Nadhani taarifa walioweka kwenye website yao hawakuikagua tena kuona kama inafanya kazi sawia. Lakini nadhani badala ya kutumia * star wao wakatumia X times symbol. Nakushauri utumie * (Star Symbol) pale waliposema X (times symbol).
Hivyo tuma hivi mfano: MATOKEO*S0000*0500 na sio MATOKEOXS0000X0500 kwenda hiyo namba 15311. Nadhani umeona tofauti. Kumbuka hakuna space (nafasi) kati ya herufi na herufi.
Nadhani itakubali. Sijajaribu kwasababu sipo huko lakini ninaweza kugundua tu kwasababu ya mfumo wa technologia. Vinginevyo ningeweza kuhakiki kabla sijakushauri. Jaribu hiyo.
 
Back
Top Bottom