Matokeo ya mitihani darasa la saba

Mahmood

JF-Expert Member
Feb 9, 2008
7,909
2,477
[FONT=Times,Times New Roman][SIZE=+3]Matokeo ya mitihani darasa la saba serikali ieleze:[/SIZE][/FONT]


[FONT=Times,Times New Roman][SIZE=+4]Je, Waislamu ni taahira au kuna agenda ya siri[/SIZE][/FONT]
  • [FONT=Times,Times New Roman][SIZE=+2]Waliotahiniwa Waislamu 71% Wakristo 29%[/SIZE][/FONT]
  • [FONT=Times,Times New Roman][SIZE=+2]Waliochaguliwa Waislamu 21% Wakristo 79%[/SIZE][/FONT]
SERIKALI ilitakiwa ieleze ni sababu zipi zinazopelekea watoto wa Kiislamu wanaochaguliwa kwenda kidato cha kwanza wawe wachache sana ikilinganishwa na idadi ya watahiniwa.

Akizungumza Bungeni Februari 2, 1999 Mbunge wa Kigamboni Mh. Kitwana Kondo alisema kwamba kwa mwaka 1998 watoto Waislamu waliofanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi mkoa wa Dar es Salaam walikuwa asilimia sabini na moja (71%) wakati Wakristo walikuwa 29% ya watahiniwa wote.

Hata hivyo, akasema kwamba waliokuja kuchaguliwa kwenda
sekondari Waislamu walikuwa asilimia ishirini na moja (21%) wakati Wakristo waliochaguliwa walikuwa asilimia sabini na tisa (79%).

Kutokana na kielelezo hicho, Mh. Kitwana Kondo alihoji: "ama Waislamu ni wajinga, ama akili zao hazifanyi kazi " ama mtu akiwa Muislamu basi wewe huna kitu au kuna kitu". Kwa hiyo, akaitaka serikali itoe maelezo.

Katika utangulizi wake, akiielezea nukta hii Mh. Kitwana Kondo alikariri ahadi ya Mh. Rais ya kuyashughulikia matatizo ya kielimu ya Waislamu ambapo pia alishauri wafadhili wajenge shule zaidi badala ya Misikiti, lakini akamtaka Waziri wa Elimu atoe ufafanuzi juu ya jambo hili.

Kwamba je, watoto wa Kiislamu kutochaguliwa kwenda kidato cha kwanza ni kwamba Waislamu kwa asili yao wanazaliwa wajinga au zipo juhudi za kuwakandamiza.

Wakati huo huo, Mh. Kitwana Kondo ameliambia Bunge kwamba yapo mambo ambayo yanapangwa na serikali ambayo yanaweza kuleta mfarakano katika jamii yetu, jambo ambalo Mh. Rais amelikemea.

Akitoa vielelezo alitaja suala la siku ya Ijumaa ambapo katika baadhi ya maofisi na mashule ratiba za kazi hazizingatii haki ya Waislamu kwenda kuswali.

Ameiomba serikali itoe agizo kwamba shughuli zote za kazi na masomo zisimame saa sita na kama ni kuendelea ziendelee baada ya saa nane.

Mfano mwingine aliotoa Mh. Kondo ni tabia ya serikali kuchelewesha usajili wa taasisi za Kiislamu bila sababu zozote za msingi. Alieleza kwamba taasisi moja ya Kiislamu ijulikanayo kama Baraza la Maimamu toka iombe kusajiliwa ni miaka mitatu bado haijasajiliwa.

Aidha, alisema kwamba wakati mwingine Waislamu hudaiwa walete kibali cha Bakwata wanapoomba kusajiliwa, akahoji je, hiyo ni sheria ya serikali au matakwa tu ya wakubwa.

Suala lingine aliloligusia kama kielelezo cha Waislamu kutokutendewa haki na hivyo kuhatarisha amani ya nchi, ni tabia ya baadhi ya watendaji wa serikali na hasa katika taasisi za elimu kuwazuia mabinti Waislamu kuvaa hijab. Amesema hiyo ni amri ya Qur’an (33:30-31)na ni lazima iheshimiwe.

Akizungumzia suala la mitihani ya kidato cha nne kufanyika mwezi wa Ramadhani, Mh. Kitwana Kondo alisema kwamba hiyo ni moja ya chehe za kuleta mfarakano. Hata hivyo akasema kwamba baada ya manung’uniko Waziri wa Elimu alitoa maelezo ambayo yaliwaridhisha Waislamu.

Hata hivyo, akashangazwa na kuhoji dhamira ya wale wakubwa waliosema kwa jeuri na takabari kwamba watoto wa Kiislamu wakitaka kufanya mtihani wafanye na wasipotaka basi. Hakufafanua ni mkubwa gani huyo.

Mh. Kitwana Kondo alisisitiza kwamba hao wasiojali hisia za Waislamu na wanaotoa kauli hizo za jeuri ndio wasio itakia kheri nchi yetu.

Ila kwa upande wake na wengine wanaokuja na kusema hadharani ndio waitakiao mema nchi.

Aliwaomba viongozi wa serikali na hasa Mawaziri kumsaidia Mh. Rais kutekeleza dhamira na ahadi yake ya kuyashughulikia malalamiko ya Waislamu. Mh. Kitwana Kondo alipata fursa ya kuyasema yote hayo katika kipindi cha kujadili hotuba ya Mh. Rais Mkapa aliyoitoa Bungeni mwaka jana.
 
Nyie best tatizo lenu mnachanganya mambo, mara nyingi kama siyo zote mnang'ang'ania madras. Siyo mbaya madras ila wenzenu wanakwenda kudiscuss au pengine tuition (ingawa i don't recommend) nyie mwakazana na JU ZUU zinazowaletea utaahira. Fuateni sylabus muone kama hamtakamua kwanI hapa university nnakosomea tunao watoto wa kiislamu wanakamua kipindi dunia nzima. Nyie mnakazana kusema elimu dunia ni batir unadhani wataacha kufeli? Suala kubwa hapa ni scale of preference. Ukicheki mashule ya wakristo kimatokeo ukiondoa shule za mama Lwakatare (labda kwa kiingereza) wanafauru na ukicheki Islamic seminaries wanavuta mkia tu. So angalieni mnafundisha nini manake ukienda kufanya Necta huwezi ulizwa namna ya kujilipua. Pia angalieni waalimu wenu kama wamequlify, ikiajili mtu kwa kuwa anaswali mara tano kwa siku hata kama ni muuza vitumbua hana profession ya uticha unatugemea nini? Au ni mke wa shekhe hana elimu unadhani atafundisha nini?
 
[FONT=Times,Times New Roman][SIZE=+3]Matokeo ya mitihani darasa la saba serikali ieleze:[/SIZE][/FONT]



[FONT=Times,Times New Roman][SIZE=+4]Je, Waislamu ni taahira au kuna agenda ya siri[/SIZE][/FONT]
  • [FONT=Times,Times New Roman][SIZE=+2]Waliotahiniwa Waislamu 71% Wakristo 29%[/SIZE][/FONT]
  • [FONT=Times,Times New Roman][SIZE=+2]Waliochaguliwa Waislamu 21% Wakristo 79%[/SIZE][/FONT]
SERIKALI ilitakiwa ieleze ni sababu zipi zinazopelekea watoto wa Kiislamu wanaochaguliwa kwenda kidato cha kwanza wawe wachache sana ikilinganishwa na idadi ya watahiniwa.

Akizungumza Bungeni Februari 2, 1999 Mbunge wa Kigamboni Mh. Kitwana Kondo alisema kwamba kwa mwaka 1998 watoto Waislamu waliofanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi mkoa wa Dar es Salaam walikuwa asilimia sabini na moja (71%) wakati Wakristo walikuwa 29% ya watahiniwa wote.

Hata hivyo, akasema kwamba waliokuja kuchaguliwa kwenda
sekondari Waislamu walikuwa asilimia ishirini na moja (21%) wakati Wakristo waliochaguliwa walikuwa asilimia sabini na tisa (79%).

Kutokana na kielelezo hicho, Mh. Kitwana Kondo alihoji: "ama Waislamu ni wajinga, ama akili zao hazifanyi kazi " ama mtu akiwa Muislamu basi wewe huna kitu au kuna kitu". Kwa hiyo, akaitaka serikali itoe maelezo.

Katika utangulizi wake, akiielezea nukta hii Mh. Kitwana Kondo alikariri ahadi ya Mh. Rais ya kuyashughulikia matatizo ya kielimu ya Waislamu ambapo pia alishauri wafadhili wajenge shule zaidi badala ya Misikiti, lakini akamtaka Waziri wa Elimu atoe ufafanuzi juu ya jambo hili.

Kwamba je, watoto wa Kiislamu kutochaguliwa kwenda kidato cha kwanza ni kwamba Waislamu kwa asili yao wanazaliwa wajinga au zipo juhudi za kuwakandamiza.

Wakati huo huo, Mh. Kitwana Kondo ameliambia Bunge kwamba yapo mambo ambayo yanapangwa na serikali ambayo yanaweza kuleta mfarakano katika jamii yetu, jambo ambalo Mh. Rais amelikemea.

Akitoa vielelezo alitaja suala la siku ya Ijumaa ambapo katika baadhi ya maofisi na mashule ratiba za kazi hazizingatii haki ya Waislamu kwenda kuswali.

Ameiomba serikali itoe agizo kwamba shughuli zote za kazi na masomo zisimame saa sita na kama ni kuendelea ziendelee baada ya saa nane.

Mfano mwingine aliotoa Mh. Kondo ni tabia ya serikali kuchelewesha usajili wa taasisi za Kiislamu bila sababu zozote za msingi. Alieleza kwamba taasisi moja ya Kiislamu ijulikanayo kama Baraza la Maimamu toka iombe kusajiliwa ni miaka mitatu bado haijasajiliwa.

Aidha, alisema kwamba wakati mwingine Waislamu hudaiwa walete kibali cha Bakwata wanapoomba kusajiliwa, akahoji je, hiyo ni sheria ya serikali au matakwa tu ya wakubwa.

Suala lingine aliloligusia kama kielelezo cha Waislamu kutokutendewa haki na hivyo kuhatarisha amani ya nchi, ni tabia ya baadhi ya watendaji wa serikali na hasa katika taasisi za elimu kuwazuia mabinti Waislamu kuvaa hijab. Amesema hiyo ni amri ya Qur’an (33:30-31)na ni lazima iheshimiwe.

Akizungumzia suala la mitihani ya kidato cha nne kufanyika mwezi wa Ramadhani, Mh. Kitwana Kondo alisema kwamba hiyo ni moja ya chehe za kuleta mfarakano. Hata hivyo akasema kwamba baada ya manung’uniko Waziri wa Elimu alitoa maelezo ambayo yaliwaridhisha Waislamu.

Hata hivyo, akashangazwa na kuhoji dhamira ya wale wakubwa waliosema kwa jeuri na takabari kwamba watoto wa Kiislamu wakitaka kufanya mtihani wafanye na wasipotaka basi. Hakufafanua ni mkubwa gani huyo.

Mh. Kitwana Kondo alisisitiza kwamba hao wasiojali hisia za Waislamu na wanaotoa kauli hizo za jeuri ndio wasio itakia kheri nchi yetu.

Ila kwa upande wake na wengine wanaokuja na kusema hadharani ndio waitakiao mema nchi.

Aliwaomba viongozi wa serikali na hasa Mawaziri kumsaidia Mh. Rais kutekeleza dhamira na ahadi yake ya kuyashughulikia malalamiko ya Waislamu. Mh. Kitwana Kondo alipata fursa ya kuyasema yote hayo katika kipindi cha kujadili hotuba ya Mh. Rais Mkapa aliyoitoa Bungeni mwaka jana.

HAWA NAOO. kwani mtume MUD yeye alikuwa na elimu gani wakati hata kusoma alikuwa hajui. KUTOKUWA NA ELIMU KWA MWISLMU NI sunnah SHEKH wewe hujui???????////
 
HAWA NAOO. kwani mtume MUD yeye alikuwa na elimu gani wakati hata kusoma alikuwa hajui. KUTOKUWA NA ELIMU KWA MWISLMU NI sunnah SHEKH wewe hujui???????////

Kama kazi wasubiri ya upendeleo maalum!
 
kama kazi wasubiri ya upendeleo maalum!

we acha tu, yaani hawa jamaa wanakera sana. Wanaichafua dunia kila mahala walipo wao ni malalamiko tu. Mimi sasa hivi nafikri dawa ni kutokuwa na suluhu nao, vinginevyo tutaumia sana. Unaona hata vitu vya umma kama chuo cha tenesco waliprwa kwa kuendekeza ujinga wao
 
Mimi naamini kuwa mafanikio katika elimu yanaanzia nyumbani. Vijana wote wa kikristo na kiislamu wanauwezo unaofanana kabisa. Ni jambo rahisi tu jamii kuahmua kuwa zinataka kujenga familia za aina gani. Bahati mbaya ni kuwa watoto wakiwa wadogo hawana nafasi ya kujihamulia, na hapa ndipo ninapozungumzia nafasi ya wazazi, kabla ya kumwangalia mwalimu na serikali. Vijana wengi wanapofikia umri wa kujihamulia wanajikuta nafasi ndiyo hiyo ishayoyoma na kubakia na nyoya za mkiani!
 
Tumia mda mwingi kufikiri namna ya kubadili hizo figure, hata ukiweza waislam waliofanya mtihani 80% waliochaguliwa 80%. Kulalamika ni dalili za inferiority, Na kwa wale wanamahesabu wazuri, Waislamu 71% Wakristo 29%
Waliochaguliwa Waislamu 21% Wakristo 79%. ili kubalance idadi sawa ya wanafunzi wanaoenda elimu ya sekondari kati ya Waislamu na Wakristo, nadhani hayo na makadirio sahihi kabisa.
 
Mahmoud,
Waislamu waliotahiniwa inawezekana ni 71% na waKristo 21% lakini huu ni uwiano wa walio TAHINIWA tu, kutahiniwa si lazima matokeo yake yawe kufaulu.

Hizi takwimu zako chanzo ni kipi? Kwa sababu sidhani kama wakati wa kutahiniwa watoto wanaulizwa dini yao. Au kunatakwimu za maoanisho kati ya matokeo ya mtihani na taarifa za mtoto wakati alipoandikishwa shule?
 
Mimi naamini kuwa mafanikio katika elimu yanaanzia nyumbani. Vijana wote wa kikristo na kiislamu wanauwezo unaofanana kabisa. Ni jambo rahisi tu jamii kuahmua kuwa zinataka kujenga familia za aina gani. Bahati mbaya ni kuwa watoto wakiwa wadogo hawana nafasi ya kujihamulia, na hapa ndipo ninapozungumzia nafasi ya wazazi, kabla ya kumwangalia mwalimu na serikali. Vijana wengi wanapofikia umri wa kujihamulia wanajikuta nafasi ndiyo hiyo ishayoyoma na kubakia na nyoya za mkiani!
Umenena Nono tatizo la watoto wengi wa kiislamu (si wote) ni kuwa wazazi wao wenyewe hawana au elimu yao ni ndogo. Watoto hawana guidance au support nyumbani. Kama hawabaguliwi katika kuandikishwa mashuleni watabaguliwaje katika matokeo ya mtihani? Wazushi tu.
 
HAWA NAOO. kwani mtume MUD yeye alikuwa na elimu gani wakati hata kusoma alikuwa hajui. KUTOKUWA NA ELIMU KWA MWISLMU NI sunnah SHEKH wewe hujui???????////

Nimeipenda hii. Na ndo maana kule Nigeria mwaka jana walifanya maandamano kupinga elimu dunia waliyoiita elimu ya magharibi na kutaka shule yao iwe ni madrasa tu. Sasa unategemea nini hapo? Lakini yote haya ni kutokana na mwanzilishi wa dini mwenyewe hakujua kusoma wala kuandika sasa unategemea wafuasi watakuwaje?
 
Nimeipenda hii. Na ndo maana kule Nigeria mwaka jana walifanya maandamano kupinga elimu dunia waliyoiita elimu ya magharibi na kutaka shule yao iwe ni madrasa tu. Sasa unategemea nini hapo? Lakini yote haya ni kutokana na mwanzilishi wa dini mwenyewe hakujua kusoma wala kuandika sasa unategemea wafuasi watakuwaje?


Naona unavuka mipaka, ndugu zetu hawana uvumilivu na uwezo wa kujenga hoja. Mi sichangii hapa, nisije chomewa kibanda changu bure!!!
 
Back
Top Bottom