Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,967
- 32,265
Solution ni kukukata tu
Tena vyotevyote anavyoringia.
Solution ni kukukata tu
Tangu Lini X wako akakuweka ktk shindano.
"Lundenga" wewe ni Muongo,
Catherin nimempigia kura halaf u unatangaza kuwa eti hajapata kura.
siri imefichuka. Nashangaa hata mashindano yaliyopita sikupigiwa kura na hata mtu mmoja ila ikatangazwa nimepata kura moja. Kumuuliza huyu lundenga hakuwa na jibu. Ahsante Madame B.
Alikuwa anatutaka shosti,hana lolote.
Hahahaha bora mie ambae sijapiga kabisa manake ingeniuma sana kura yangu kuibiwa hadharani hivi lol!
mi mwenyewe niliona dalili za uchakachuzi ikabidi nikae kando best.
Wangu hayo mambo hana hata moja! Hadi sasa hajui mshahara wake Tsh ngapi,
Solution ni kukukta tu
:focus:
Na hiyo ndio dawa lol.....sishiriki kupiga kura kamwe huu utapeli wa mchana nani anataka?
Bora umwambie maana anachoongea anakijua mwenyewe.
huyu lundenga anataka kuchungulia hips za warembo tu. Halafu mwambie aandike vizuri jina langu. Lol
Kama kaandika vibaya report abuse mwaya!
alafu shemeji ujue nakumezea mate,sema bas tu hasa ukivaaga kile kimini cha na mguu wote wa bia mweupe,unatingisha mpaka nabaki nadata
Shemeji kalale sasa manake naona hali sio nzuri kabisa!