Matokeo ya Law school of Tanzania, kati ya wanafunzi 500+ walio-clear masomo yote ni 22 tuu!

Mbinguni nimefurahi kuona andiko lako. Nilikuwa science with education miaka hiyo hiyo 1983-1986/87 tuliongezawa condensed year ya education). Na kweli sheria ndiko watu walikuwa na nafasi ya kwenda hall 3 kutafuta wasichana na kucheza muziki kule hotel ya UDSM Bahari beach?? Kunduchi bahari Beach Hotel???. Walikuwa wanasema katika faculty ambayo haijawahi kudisco mwanafunzi ilikuwa Law! Leo eti ni ngumu, wapuuzi. Nimesoma law na nimemaliza bila hata supp miaka hii, nikijisomea mwenyewe!
Ila mkuu kilicho kirahisi kwako kwa mwingine kigumu....

Huo mjadala ni wa enzi zile za secondary wanasema ooh PCM ngumu kushinda HKL lakini huyo mtu wa PCM ukimpa mtihani wa Kiswahili anataga....

Hakuna kitu kirahisi duniani kwa kila mmoja wetu...kila mtu ni kilaza kwenye kitu fulani ndo mana unavosema law ni course nyepesi hiyo ni kwako sio kwa wote hakunaga course nyepesi..
Uko too general..

Ndo mana katika law... kwenye evidence....expert evidence...kuna rule moja inasema kua
"An expert in field one is a layman in another field"...
 
Ila mkuu kilicho kirahisi kwako kwa mwingine kigumu....

Huo mjadala ni wa enzi zile za secondary wanasema ooh PCM ngumu kushinda HKL lakini huyo mtu wa PCM ukimpa mtihani wa Kiswahili anataga....

Hakuna kitu kirahisi duniani kwa kila mmoja wetu...kila mtu ni kilaza kwenye kitu fulani ndo mana unavosema law ni course nyepesi hiyo ni kwako sio kwa wote hakunaga course nyepesi..
Uko too general..

Ndo mana katika law... kwenye evidence....expert evidence...kuna rule moja inasema kua
"An expert in field one is a layman in another field"...
Uko sawa, kuna philosphy katika education tulijifunza, kuwa :beauty is not a concept, but a beautiful thing is appreciated by many! Nakubali ugumu ni relative, but there are some concepts more difficult to understand compared to others! Albert Einstein alipokuwa anjaribu kuelezea how gravity comes about , ali introduce concept ya Warping of space and time (warping spacetime), ilikuwa shughuli kwa wanasayansi wenzake mabingwa kumwelewa.... it was a difficult concept to grasp compared to other concepts Einstein had proposed in the past!
 
Kama ni chuwa nakubali sana aondolewe yule jamaa na mambo fulani ya kishamba sana....
Na kiukweli alikua anafelisha watu makusudi maana mitihani ya commercial ilikua mirahisi kweli kweli lakini unashangaa asilimia kubwa wamesupp halafu alikua anapenda sana umwinyi mwinyi na ni mtupu kichwani sielewi alipataje kazi pale..

Ila tukiongea ukweli Chuwa alikua sio sababu ya watu kuDISCO mana yeye ni somo moja tu kati ya matano core ambayo ukifeli unadisco....
Na wale walimu wa masomo mengine mbona wako fresh tu labda kale kajamaa kafupi ja probate keupe sijui kanaitwa nani tena ila sidhani mana sikuona watu wakilia lia sana...ila all in all Chuwa kufukuzwa pale ni habari nzuri sana kuna masomo ya kusupp...commercial sio moja wapo!

Na mkuu.kuhusu notes za commercial kiukweli mimi nilikua nasomea mitihani so nilikua naenda kuchukua steshenari pale walimu wakitoa kwaiyo kama mwanao anasoma kwajili ya mitihani simshauri asome kitu.kingine zaidi ya zile notes za walimu.....

aende kwenye zile stehenari pale awaulize kua commercial kuna notes gani zimetolewa watampa mi naamini kwa kipindi hiki hizo notes ni nzuri kuliko hata kusoma vitabu ...

Mana unajua kusoma ili ufaulu mitihani na kusoma ili upate knowledge ni vitu viwili tofauti...
Nimekupata asante sana kwa ushauri mzuri, ubarikiwe.
 
Uko sawa, kuna philosphy katika education tulijifunza, kuwa :beauty is not a concept, but a beautiful thing is appreciated by many! Nakubali ugumu ni relative, but there some concepts are more difficult to understand compared to others! Albert Einstein alipokuwa anjaribu kuelezea how gravity comes about , ali introduce concept ya Warping of space and time (warping spacetime), ilikuwa shughuli kwa wanasayansi wenzake mabingwa kumwelewa.... it was a difficult concept to grasp compared to other concepts Einstein had proposed in the past!
Lakini eventually walikuja kumuelewa...mtu akisema law ni course ngumu au nyepesi namkatalia...ila ni course ambayo inasomeka kama ukidhamiria ila kusema ni ngumu au nyepesi ni ishu ya mtu binafsi na ubongo wake..

Hao makondakta wa daladala wanajua kuhesabu hela vizuri na kurudisha kwa wakati tena under presssure na haraka unaweza kuzani wanajua hesabu sana...ila mulize 5×3 ni ngapi uone jibu lake...

Halafu wale waliosomea hesabu na uhasibu wao kazi muda wote kutumia calculator tu ukimpa ile kazi ya konda kurudisha chenji kwa wakati bila kutumia calculator unafikir wataweza??

Ugumu wa kitu au rahisi ni inategemea mtu na mtu
 
Nimekupata asante sana kwa ushauri mzuri, ubarikiwe.
Kwenye account namshauri...afanye kila awezalo ikifika siku ya pepa...ajue kuandaa income statement na balance sheet plus ajue zile accounting principles/concepts mana piga ua lazima yatoke hayo maswali...
Yani kwa ufupi kwenye accounting kama akiweza kupitia zile past papers zote mi nauhakika lile somo lazima achomoe..

Sema lile somo sasa kumbe nimeskia ili ufaulu lazima kila part usipate chini ya marks 25...yani part ya accounting usipate chini ya 25 kati ya 50 halafu ile.part ya leadershp HRM records managemnt nayo afanye asishuke chini ya 25 ila jumla iwe 50..

Mfano part moja akapata 35 nyingine tuseme 15 si inakua hamsini hapo?
Ujue hapo lazima supp tu hawezi kufaulu japo kapata 50....

Yale kiufupi pale yapo masomo mawili yanayojitegemea ndani ya kivuli cha somo moja so asije kusema kua mimi accounting siitaki nakomaa na part ya leadership pekee mradi nipate 50 hapo hataweza kuchomoa..
Lile somo watu wanafeli sana kwa kutokujua iyo trick kua yapo masomo mawili pale yanayojitegemea sasa mtu anakomaa na part moja anajua lazima apate 50 mwishowe anakua hajabalance anasupp....

Mkuu kususu conveyancing akomae na manual za sisti zipo steshenari lazima atatoka tu..
 
Kwenye account namshauri...afanye kila awezalo ikifika siku ya pepa...ajue kuandaa income statement na balance sheet plus ajue zile accounting principles/concepts mana piga ua lazima yatoke hayo maswali...
Yani kwa ufupi kwenye accounting kama akiweza kupitia zile past papers zote mi nauhakika lile somo lazima achomoe..

Sema lile somo sasa kumbe nimeskia ili ufaulu lazima kila part usipate chini ya marks 25...yani part ya accounting usipate chini ya 25 kati ya 50 halafu ile.part ya leadershp HRM records managemnt nayo afanye asishuke chini ya 25 ila jumla iwe 50..

Mfano part moja akapata 35 nyingine tuseme 15 si inakua hamsini hapo?
Ujue hapo lazima supp tu hawezi kufaulu japo kapata 50....

Yale kiufupi pale yapo masomo mawili yanayojitegemea ndani ya kivuli cha somo moja so asije kusema kua mimi accounting siitaki nakomaa na part ya leadership pekee mradi nipate 50 hapo hataweza kuchomoa..
Lile somo watu wanafeli sana kwa kutokujua iyo trick kua yapo masomo mawili pale yanayojitegemea sasa mtu anakomaa na part moja anajua lazima apate 50 mwishowe anakua hajabalance anasupp....

Mkuu kususu conveyancing akomae na manual za sisti zipo steshenari lazima atatoka tu..
asante nimemweleza na kumtumia this advice
 
asante nimemweleza na kumtumia this advice

Poa mkuu pia ajaribu kuuliza wale walioko darasani kwa sasa hivi wamefundishwa nini na nn mana wao ndo wenye mtihani....
Mtihani unatungwa kulingana na walivofundishwa wao ...
So akipata tips kutoka kwao inasaidia mana anaweza kukomaa na madesa aliyesoma yeye wakati yupo class kumbe kuna vitu vimepunguzwa au kuongezwa...

So asione haya kuwauliza mana ukiuliza unapata Knowledge na Knowledge is always Power...
 
Law School Tanzania wapo vizuri tatizo ni aina ya wanafunzi wenyewe....Imagine muda ni mfupi sana lakin Wanafunzi eti wako busy nakula Bata Mara waandae Tour Bagamoyo Mara sijui welcome nini yani mambo ya kitoto kabisa ambayo tulipaswa kuyafanya first year vyuon na sio LST....kingine LST inajenga watu wawe na uelewa mpana na sio kuungaunga km vyuon yan watu wana GPA nzuri lakin after graduating wanashukuru Google kwa degree zao maana wengi wao degree ni zamagumashi....Laiti vyuo vikuu wangekua na mitazamo ya LST na CPA basi pale watu wangesoma na sio kuharibika maana statistics show vijana wengi wanaharibikia vyuon....By the way hao 22 wanatosha sana maana they know exactly what was LST is.....Ukifatila ata matokeo yao ya nyuma wengi wao wana F ya Mathematic japo haisiani na Sheria.....polen 23rd cohort kwa kuendekeza picnic za Bwagamoyo
 
Ila mkuu kilicho kirahisi kwako kwa mwingine kigumu....

Huo mjadala ni wa enzi zile za secondary wanasema ooh PCM ngumu kushinda HKL lakini huyo mtu wa PCM ukimpa mtihani wa Kiswahili anataga....

Hakuna kitu kirahisi duniani kwa kila mmoja wetu...kila mtu ni kilaza kwenye kitu fulani ndo mana unavosema law ni course nyepesi hiyo ni kwako sio kwa wote hakunaga course nyepesi..
Uko too general..

Ndo mana katika law... kwenye evidence....expert evidence...kuna rule moja inasema kua
"An expert in field one is a layman in another field"...
nakataa, HKL ni rahisi kuliko PCM, ukimchukua mtu wa PCM ukimuhamishia HKL, akafundishwa kidogo tu, ataelewa fasta kutokana na uwezo wake kichwani ulivyo, ila ukimchukua wa HKL, ukamuhamishia PCM ata afundishwe vipi kutoboa ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu. Ndio maana unaona PCM inaweza beba choice zote mpaka za HKL ukiingia chuo, ila HKL haiwezi. sisi tulikua tunaiita HKL comb ya dada zetu Alevel
 
nakataa, HKL ni rahisi kuliko PCM, ukimchukua mtu wa PCM ukimuhamishia HKL, akafundishwa kidogo tu, ataelewa fasta kutokana na uwezo wake kichwani ulivyo, ila ukimchukua wa HKL, ukamuhamishia PCM ata afundishwe vipi kutoboa ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu. Ndio maana unaona PCM inaweza beba choice zote mpaka za HKL ukiingia chuo, ila HKL haiwezi. sisi tulikua tunaiita HKL comb ya dada zetu Alevel
Inategemea umemchukua mtu wa aina gani...
Kama umemchukua mtu hana interest na PCM inakua ngumu so ishu sio ugumu ishu ni interest ya mtu....

Nakupa mfano wangu binafsi toka nasoma shule ya msingi mpaka naanza vidato my performance kwenye masomo ya sayansi hasa Chemistry na Physics was very impressive...sikuwahi kupata chini ya B ya Phy na Chem...

Ila binafsi hakuna masomo niliyokua siyapendi kusoma kama hayo....but nilikua nafaulu vizuri tena nakuambuka kua form 1 na 2 somo la kiswahili lilikua gumu kwangu mm kushinda Phy na Chem nilivoingia 3 ..somo la kiswahili likawa my co-favorite nikawa nachezea A ...too sad sikuja kulisoma nilivofika form 5

Ndo mana nakataa kua eti HKL ni ngumu kushinda PCM....
Mimi sikuona ugumu wowote wa Phy au Chem sema sipendi mambo ya sayansi mpaka leo.
Nafanya mambo kuridhisha nafsi yangu mana hatuishi milele nisipofurahi leo naweza nisipate nafasi ya kufurahi kesho..

So it's all about interest na kichwa cha mtu sio kila aliyesoma Arts alikimbia sayansi.
 
Law School Tanzania wapo vizuri tatizo ni aina ya wanafunzi wenyewe....Imagine muda ni mfupi sana lakin Wanafunzi eti wako busy nakula Bata Mara waandae Tour Bagamoyo Mara sijui welcome nini yani mambo ya kitoto kabisa ambayo tulipaswa kuyafanya first year vyuon na sio LST....kingine LST inajenga watu wawe na uelewa mpana na sio kuungaunga km vyuon yan watu wana GPA nzuri lakin after graduating wanashukuru Google kwa degree zao maana wengi wao degree ni zamagumashi....Laiti vyuo vikuu wangekua na mitazamo ya LST na CPA basi pale watu wangesoma na sio kuharibika maana statistics show vijana wengi wanaharibikia vyuon....By the way hao 22 wanatosha sana maana they know exactly what was LST is.....Ukifatila ata matokeo yao ya nyuma wengi wao wana F ya Mathematic japo haisiani na Sheria.....polen 23rd cohort kwa kuendekeza picnic za Bwagamoyo
Kweli mkuu vijana siku izi ukiskiliza stori zao ni 'bata na instagram na mpira'

Kama juzi kati nilishangaa sana kuskia eti wanafunzi wa LST wanalalamika Rais aliyechaguliwa ni wa CCM sijui...
Nilishangaa sana nikasema hao wanakaa miezi 4 tu LST baada ya hapo umemaliza sasa huo muda wa kwenda instagram kusema sijui Rais wa CHadema sijui CCM wanaupata wapi....

Sisi cohort yetu nakumbuka walitaka kufanya uchaguzi wa viongozi mpaka wakachoka kusubiri mana hakuna aliyejitokeza kugombea hamna aliyekua interested, ikabidi baadhi ya wale viherehere wa darasa (always darasa linakuaga na viherehere) wajitolee kuokoa jahazi kulikua hakuna mambo ya siasa wala kampeni....

Ama kweli zama zimebadilika sio kila homa ni malaria!
 
Elimu ya Tanzania imejengewe fikra kwamba wanapofaulu wachache ndio ubora wa elimu.

Hii ni dhana ya kizamani ya kishamba na ulimbukeni wa elimu.

Elimu itolewe kwa kiwango sahihi na watu wafaulu kwa kiwango sahihi bila ubabaishaji na vikwazo.

Mbona Harvard School of Law hakuna haya mambo ya elimu hizi za kuvutana kama hawa maprofesa uchwara wanavyofanya???

Maprofesa wenyewe hawa wa UPE wa enzi za Nyerere waliosoma shule za mitini lakini wanajitia ujuaji mwingi Teh...

Ushamba mzigo!
Elimu ya Tanzania imejengewe fikra kwamba wanapofaulu wachache ndio ubora wa elimu.

Hii ni dhana ya kizamani ya kishamba na ulimbukeni wa elimu.
Elimu itolewe kwa kiwango sahihi na watu wafaulu kwa kiwango sahihi bila ubabaishaji na vikwazo.

Nimependa sana comment hizi
, ni lazima tuwe na fikra chanya kuhusu elimu ya nchi yetu, tuache ulimbukeni na ushamba wa kijinga kwamba wanaofeli hawasomi. Ulishayasikia madudu haya huko kwenye Law Bars za wenzetu? Google hapo Ontario bar, Harvard bar, Northwestern law bar, Toronto n.k. . . .
 
Haha mkuu fani nyingi zimevamiwa sana sio Law tu hizi fani zilizokua zinaonekana "zina hela au zibalipa" kama Medicine, Law na Engineering zimevamiwa sana...vilaza wengi sana humo ndo mana mahospitalin kuskia ndugu wa mgonjwa wamepiga Dr kisa kaua mgonjwa kizembe ni kawaida.... ghorofa lina expansion joints za kutosha au limeporomoka ni kawaida siku izi..

fani kama uhasibu zimevamiwa pi sema kwakua hazi affect pipo directly ndo mana vilio sio vingi kama kwenye fani izo nyingine...

Ila kiukweli Law is not for everyone....ni kipaji kama vipaji vingine na sio just kwenda shule na kutoka na A's kibao...

Kama ulivosema sio lazima kufanya cross-E mana kuna rule moja inasema
"dont ask the questions which you dont know the answers"....sasa unakuta bush lawyer kakazania kuuliza maswali ambayo hajui majibu yake ili mradi aonekane yupo kumbe anajikuta anampa faida opponent na hasara kwake na kwa mteja...

Unakuta bush lawyer kashika list ya maswali kwenye paper halafu anauliza moja moja...yani mpaka inabidi ucheke....sasa kama umekaa na mteja wako ukaisoma kesi vizuri ukajua facts za kesi in n out ukamjua yule shahidi ndani na nje kupitia mteja wako huitaji kushika list ya maswali na kuanza kuuliza kama unasoma risala mbele ya mgeni rasmi....inakera sana

Mkuu nenda Law School umalize ukaokoe jahazi binafsi bado nausoma mchezo kabla sijaingia
Nimeenda na nimefaulu first sitting lakini kazi ilikuwa ya mapambano makali sio lelemama, viwango vya law school ni vya juu sana mtu mwepesimwepesi kuviweza ni ngumu sana.
 
Back
Top Bottom