Rams king
Member
- Oct 17, 2017
- 22
- 2
Nenda Amazon College au Global College kasomee Hotel Management and Tourism....faida kule ada unalipia kidogo kidogo....na ajira ni uhakika baada ya kuhitimu.. utasoma Kiingereza na Computer bure kabisa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda Amazon College au Global College kasomee Hotel Management and Tourism....faida kule ada unalipia kidogo kidogo....na ajira ni uhakika baada ya kuhitimu.. utasoma Kiingereza na Computer bure kabisa....
Daah! na sisi tuliosomea PHARMACIST, ushapata degree yako hapo ya miaka 4, ili upate cheti(register) sasa inabidi ufanye mtihani wa phc,concl, huo huwa wanafanya wanafunzi 1000, wanaofaulu hawafiki 100, ndio unapata cheti sasa na muhuri, unaokuruhusu kuweka kwenye Pharmacy.. waliofeli wanapaswa kurudia, na unalipia mkwanja mrefu si bure... namshukuru mungu nilipita kati ya 98 tuliofaulu. LLB sijui LST, poleni kwa kudisco, komaeni mtapata tu muhuri.
Dalili ya kutokuwa na hoja ya msingiUpo darasa la ngapi kwnz?!
Pale Law school lazima usome...ni Programme nzuri sana na mhimu inaivisha watu hasa wanasheria ukitaka uive vzr baada ya Degree soma pale..lakini usome kweli kweli sio ujanja ujanja wa kibongo mkipigwa mnakimbia mitandaoni kulia lia...hawa watoto wa leo hawasomi wanachat tu na misimu yao sasa wakipigwa wanawahi mtandaoni ...Hata hao Law school wakikufaulisha ujue kabisa ukiingia mahakamani Bila ujuzi utalia mchozi utapigwa PO mpaka wakili wa upande wa pili akuhurumie..Sheria lazima usome ujue procedure its a science no short cut
Dalili mbaya hii... Huna hoja ya msingiJifunze kuandika kwanza
hii inatusaidia nini si watarudia inakuhusu nini umbea tuuuJamani matokeo yametoka, kati ya wanafunzi 500+ walio clear masomo yote ni 22!
Hapa kuna tatizo na si weak students kama mtu anavyoweza kudhani. Kuna tatizo katika teaching and examining/exam set up!.
Mkuu nimechunguza sana nimegundua Law School hakuna tatizo tatizo lipo huko vyuoni ndo kumeoza...Kweli Mfamasia, Hawa watanzania wengi wanaojambajamba hapa ni watoto wa wakubwa waliosoma shule za inglishi midiam, na Pia wana penda kubebwa, Wengi ni watoto wa majaji na nitakuja siju kuleta majina yao hapa na sehemu walipochomekwa:
Hawa hamna kitu kichwani na ni mzigo kwa taifa;Hiyo law school ya Tanzania unaambiwa ni moja ya shule ya Sheria duniani ambayo ni nyepesi.Ukija UK ama Us Asikwambie mtu, kwanza ukitaka kuwa wakili unaanza na digrii labda ya Economics, then unasoma Llb, then ndio unaingia law school kwa mwaka tena so unatumia miaka nane kuwa wakili.
Mkuu nimechunguza sana nimegundua Law School hakuna tatizo tatizo lipo huko vyuoni ndo kumeoza...
sasa law school inapokea takataka zote za vyuoni ndo mana wanalaumiwa wao wakianza kuchuja lakini ukweli ni kua vyuoni kumeoza..
Ni ukweli mkuu ni kama vile kipindi fulani wanafunzi wa kiislamu walikua wanamlaumu ndalichako kwa kuwafelisha necta wakawa wanataka ajiuzulu ila kiukweli shule za kiislamu kipindi kile kulikua hakuna kitu kabisa yani hawafundishi masomo ya necta zaidi mambo ya dini na kiarabu na kuswali swala tano na hadithi za mtume.....
Computer is error free unless kuna human errordon't change the topic, that is just a minor mistake(typing error) hata computer zinakosea
Pale Law school lazima usome...ni Programme nzuri sana na mhimu inaivisha watu hasa wanasheria ukitaka uive vzr baada ya Degree soma pale..lakini usome kweli kweli sio ujanja ujanja wa kibongo mkipigwa mnakimbia mitandaoni kulia lia...hawa watoto wa leo hawasomi wanachat tu na misimu yao sasa wakipigwa wanawahi mtandaoni ...Hata hao Law school wakikufaulisha ujue kabisa ukiingia mahakamani Bila ujuzi utalia mchozi utapigwa PO mpaka wakili wa upande wa pili akuhurumie..Sheria lazima usome ujue procedure its a science no short cut
Think again!Computer is error free unless kuna human error
Mkuu vipi chuo Tumaini kwa Degree ya sheria wako vipi??Think again!
Computer zinapata errors kuna sababu mbalimbali kama software issues which are beyond human control......
Nothin is perpect!
Tumaini ya Dar?Mkuu vipi chuo Tumaini kwa Degree ya sheria wako vipi??
Computer haikosei ila operator ndiye akoseaye.don't change the topic, that is just a minor mistake(typing error) hata computer zinakosea
Tumaini ya Iringa mkuu vipi??Tumaini ya Dar?
Kama ndio, walikua vizuri kwa sasa sijui kwakweli mana sijapata data za decently ila kipindi icho walimu wengi wa law school walikua wanatokea Tumaini Dar so yeah wako vizuri....
Utakua na bahati ukimkuta Masumbuko Lamwai yupo vizuri SANA kwenye Criminal na Civil Law na Procedure....
Kwakweli iyo siiijui mkuuTumaini ya Iringa mkuu vipi??
Ziainishe fursa za shahada ya sheria bila law school kama unazijua tafadhali!Nop, wakifanya supplimentary wanaweza toka japo si wote. Fursa kwa degree holder ya law ni nyingi itategemea na mtu mwenyewe anapendelea wapi
Law ni kati ya kozi nyepesi sana! Wahadhiri ndo wanalazimisha ionekane ngumu kwa sababu wanazozijua wenyewe!! Miaka ile ya themanini (1983-1986) nilipokuwa nasoma hapo mlimani, kitivo cha sheria ndo kilikuwa kitivo pekee ambacho hakikuwa kina-disco wanafunzi!!! Disco pale sheria zilikuwa adimu sana!! Disco nyingi zilikuwa sayansi ikifuatiwa na engineering!!!!me huwa sielewi
hivi law huwa ni ngumu sana au wanafunzi ndio Vilaza?
Ni kweli kabisa!! Wanataka kuifanya iwe na market kwa kulazimisha mawakili kuwa wachache!!!Kuna makusudi mazima ya hawa so called professors kuwafelisha wanafunzi. Sawa na CPA wanavyoifanaga kuwa ngumu!