Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe userious wa mtu kimasomo unaupima kwa macho au unakipimo gani had useme hawako serious? Ama unadhan kukaa karibu na mahakama ndo kujua sheria?Someni jamani acheni kulalamika.
Mimi naishi jirani na law school naona kbs wanafunzi wengi wanaokaa maeneo ya jirani hawapo serious kbs
Umeelewa kwamba?Sasa nime elewa kuna dogo kakamatwa masomo mawili lakini familia nzima imeumweka status DP ya kumpongeza ndugu yako.
KuchaAma ulitaka wakeshe usiku kucga class ndo ujue wapo serious?
Wewe userious wa mtu kimasomo unaupima kwa macho au unakipimo gani had useme hawako serious? Ama unadhan kukaa karibu na mahakama ndo kujua sheria?
Hlo swali nadhan ningekuuliza wewe, but km ungekuwa unesoma law school hata usingeandika ulichoandika hapo juuUpo darasa la ngapi kwnz?!
Hlo swali nadhan ningekuuliza wewe, but km ungekuwa unesoma law school hata usingeandika ulichoandika hapo juu
don't change the topic, that is just a minor mistake(typing error) hata computer zinakoseaJifunze kuandika kwanza
Wewe unataka wawe na u-serious upi kwa mfano?? Akili za ngamia hizi.Someni jamani acheni kulalamika.
Mimi naishi jirani na law school naona kbs wanafunzi wengi wanaokaa maeneo ya jirani hawapo serious kbs
Elimu ya Tanzania imejengewe fikra kwamba wanapofaulu wachache ndio ubora wa elimu.
Hii ni dhana ya kizamani ya kishamba na ulimbukeni wa elimu.
Elimu itolewe kwa kiwango sahihi na watu wafaulu kwa kiwango sahihi bila ubabaishaji na vikwazo.
Mbona Harvard School of Law hakuna haya mambo ya elimu hizi za kuvutana kama hawa maprofesa uchwara wanavyofanya???
Maprofesa wenyewe hawa wa UPE wa enzi za Nyerere waliosoma shule za mitini lakini wanajitia ujuaji mwingi Teh...
Ushamba mzigo!