Nassib nyika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2016
- 962
- 470
Wewe userious wamtuu unapimwaaaa ata Kwa mtazàmo wa MTU Tu,,,,bila shaka wewe ni miongon mwawasio seriousAma ulitaka wakeshe usiku kucga class ndo ujue wapo serious?
Wewe userious wamtuu unapimwaaaa ata Kwa mtazàmo wa MTU Tu,,,,bila shaka wewe ni miongon mwawasio seriousAma ulitaka wakeshe usiku kucga class ndo ujue wapo serious?
Yani hao 22 ni first sitting ama pamoja na wa supp??Jamani matokeo yametoka, kati ya wanafunzi 500+ walio clear masomo yote ni 22!
Hapa kuna tatizo nasi weak students kama mtu anavyoweza kudhani. Kuna tatizo katika teaching and examining/exam set up!.
Jamaa kaongea ukweli wewe how comes unadisco bana yani masomo matano yote core unapata F hapo kuna mawili kama sio kilaza basi hauko serious!Wewe userious wa mtu kimasomo unaupima kwa macho au unakipimo gani had useme hawako serious? Ama unadhan kukaa karibu na mahakama ndo kujua sheria?
Jamaa ulidisco nini mbona povu sanaKucha
Computer haikosei, inafanya inachoambiwa na mtumiaji kufanya. Mtumiaji ndio anakosea.don't change the topic, that is just a minor mistake(typing error) hata computer zinakosea
Unaelewa ulichoandika hapa?Tena walimu wenu wawajibishwe kwa kuachia hiyo idadi,vïĺaza mno bora waliosoma IJA
Bora umemuelekeza huyo haelewi kitu....Havard school of law ni ya kawaida sanaa na hata ukifaulu pale hauwii kitu, kwa marekani ili uwe advocate lazima ufanye mitihani ya Legal Bars ambayo ufaulu wake ni mdogo sanaaa hata mawaziri kibao walishafeli, na kubwa kuliko yote kwao ni ile New York Legal Bars Examination hadi mtoto wa J.Kennedy aliwai kudunda mara zote alizofanya...
sana tu,mnatusumbua sanj mahakamani na ukïlaza wenu,mmebaki na mapenzi badala ya kusomaUnaelewa ulichoandika hapa?
Acha kudanganya wewe unaonekana umedisco law school...sasa hivi degree ya law haina ishu tena ni kama kuishia form 4 utafanya kazi gani sasa ama kubebea watu mafaili yao unaona nayo kazi??Nop, wakifanya supplimentary wanaweza toka japo si wote. Fursa kwa degree holder ya law ni nyingi itategemea na mtu mwenyewe anapendelea wapi
Okaysana tu,mnatusumbua sanj mahakamani na ukïlaza wenu,mmebaki na mapenzi badala ya kusoma
first sittingYani hao 22 ni first sitting ama pamoja na wa supp??
Wanafunzi ndo vilaza Mkuu ndo mana unaona mabush lawyer wengi mtaani wengi wanaingia kwenye iyo fani wakiamini kuna ina hela sana ndo lakini wanasahau ni fani inayohitaji competency ya hali ya juu otherwise utaonekana kituko....me huwa sielewi
hivi law huwa ni ngumu sana au wanafunzi ndio Vilaza?
Umeona eh lakini huyu ni mtoto hata anavyoandika unaona kuwa ni wale watoto walimaliza shule za kata! Huwezi soma Marian ukaandika hivi!Nimemdharau sana huyu mbwiga
Mkuu yawezekana kuna tatizo mahali ila sio kubwa kushinda ile fact kua tatizo kubwa lipo kwa wanafanzi....we inawezekana ukapata F katika masomo core 5 ambapo ndo unadisco...ina mana una F kumi na tano...nakataa tatizo sio la walimu hapoNdiyo maana nasema kuna tatizo na ufundishaji na utungaji mitihani. These so called professors wanataka kuifanya fani ya uwakili kuwa "eti" ngumu! Wapuuzi wakubwa. Haiwezekani watoto wote wakafeli, tatizo liko kwao walimu! We have to raise alarm!
Sio mbaya mkuu kama itasaidia kupunguza idadi ya mabush lawyer mtaani...si mnaita hiyo ni noble profession? Let it remain noblefirst sitting