Matokeo ya Law school of Tanzania, kati ya wanafunzi 500+ walio-clear masomo yote ni 22 tuu!

Havard school of law ni ya kawaida sanaa na hata ukifaulu pale hauwii kitu, kwa marekani ili uwe advocate lazima ufanye mitihani ya Legal Bars ambayo ufaulu wake ni mdogo sanaaa hata mawaziri kibao walishafeli, na kubwa kuliko yote kwao ni ile New York Legal Bars Examination hadi mtoto wa J.Kennedy aliwai kudunda mara zote alizofanya...
Duh
 
Kuna series moja inaitwa how to get away with murder asee pale nilijua kwenye hii dunia kuna ma advocates na wababaishaji
 
Projects zenu zile za expansion joints?? Sio? Tena nyie ndo fani hovyo kabisa magorofa yanaporomoka expansion joints kila mahali sasa sijui mnasomea nini huko...mnashindwa hata na mafundi wa mtaani
Kwahiyo kwenye Engineering unachojua ni expansion joints tu.... duh au akiongelewa Engineer unachojua wewe ni majengo au Civil Engineer tu.... wake up.
 
Naona umekariri mkuu, sio kila injinia anajenga nyumba!!!

Siwezi watetea TBA ila wao walitoa maelezo ya yaliyotokea na mpaka leo jengo halina shida...

Alafu mbona na nyie "mawakili wasomi" mmelisababishia hasara hili taifa kwa kuingia Mikataba ya kipuuzi??
Mwambie huyo mijitu imekariri ikisikia Injinia wanajua lazima acheze na tofali.
 
Pale Law school lazima usome...ni Programme nzuri sana na mhimu inaivisha watu hasa wanasheria ukitaka uive vzr baada ya Degree soma pale..lakini usome kweli kweli sio ujanja ujanja wa kibongo mkipigwa mnakimbia mitandaoni kulia lia...hawa watoto wa leo hawasomi wanachat tu na misimu yao sasa wakipigwa wanawahi mtandaoni ...Hata hao Law school wakikufaulisha ujue kabisa ukiingia mahakamani Bila ujuzi utalia mchozi utapigwa PO mpaka wakili wa upande wa pili akuhurumie..Sheria lazima usome ujue procedure its a science no short cut
Wanataka mseleleko hao
 
Back
Top Bottom