Ntate Mogolo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 403
- 677
- Thread starter
- #21
Kweli kabisa mkuu! Hawa ni watoto wa juzi tu. Wao tohara wanaifahamu kupitia michezo ya kuigiza iliyofadhiliwa na NGO.Mtoa mada nakuunga mkono umewaza mbali sana hawa watoto wa siku hizi hawaezi kukuelewa ndio maana wanaishia kukutukana ni Kweli tohara ilisaidia hata nidhamu ya ndoa ikawepo
Hawajui lolote. Hata tukiwauliza ilikuwa na umaarufu gani kufanyiwa tohara, wao hawajui. Wanaishia kutukana. Hawataki kujua mila na desturi zao.