Elections 2010 Matokeo ya kura ya Uchaguzi wa Wabunge katika majimbo 7

Sokomoko

JF-Expert Member
Mar 29, 2008
1,915
127
Matokeo ya kura ya Uchaguzi wa Wabunge katika majimbo 7 yaliyoshindwa kufanya uchaguzi tarehe 31 Oktoba 2010 na hivyo kulazimika kufanya jana yametangazwa. Matokeo hayo yanaripotiwa kuwa Chama cha Mapinduzi kimepata ushindi wa viti 3, CUF ikapata viti 3 na CHADEMA ikajipatia kimoja.

Washindi hao, majimbo yao na vyama vyao ni:


  1. Asumpta Mshama - Nkenge/CCM
  2. Haji Juma Sereweji - Mwanakwerekwe/CCM
  3. Moshi Kakoso Selemani - Mpanda Vijijini/CCM
  4. Said Amour Arfi - Mpanda Mjini/CHADEMA
  5. Mbaruku Salum Ali - Wete/CUF
  6. Faki Haji Makame - Mtoni/CUF
  7. Hamad Ally Hamad - Magogoni/CUF

Chanzo cha taarifa - TBC (taarifa ya saa saba mchana leo)

http://www.wavuti.com/habari.html#ixzz15N0jBW00
 
hakuna tabu 2015 cuf wahamie zanzibar watuachie bara hawa wa2 wanapenda bora 2kose wote ccm washinde.c wapinzani kabisa tokea wapate serikali ya mseto znz hakuna upinzani zaidi ya chadema
 
Nani kasema CUF bado ni wapinzani? Hivi kumbe na CCM ni wapinzani? Maana kama CUF ni wapinzani wanapinga serikali ipi?:nono:
 
Matokeo ya kura ya Uchaguzi wa Wabunge katika majimbo 7 yaliyoshindwa kufanya uchaguzi tarehe 31 Oktoba 2010 na hivyo kulazimika kufanya jana yametangazwa. Matokeo hayo yanaripotiwa kuwa Chama cha Mapinduzi kimepata ushindi wa viti 3, CUF ikapata viti 3 na CHADEMA ikajipatia kimoja.

Washindi hao, majimbo yao na vyama vyao ni:



  1. Asumpta Mshama - Nkenge/CCM
  2. Haji Juma Sereweji - Mwanakwerekwe/CCM
  3. Moshi Kakoso Selemani - Mpanda Vijijini/CCM
  4. Said Amour Arfi - Mpanda Mjini/CHADEMA=8841 Kapufi wa CCM= 8232
  5. Mbaruku Salum Ali - Wete/CUF
  6. Faki Haji Makame - Mtoni/CUF
  7. Hamad Ally Hamad - Magogoni/CUF


Chanzo cha taarifa - TBC (taarifa ya saa saba mchana leo)

http://www.wavuti.com/habari.html#ixzz15N0jBW00


Hayo tu ndiyo najua idadi ya kura walizopata.
 
Tunashukuru. Naomba mwenye matokeo ya CHAGUZI NDOGO za udiwani kata za MIRONGO na MKUYUNI huko MWANZA atujulisha. Lengo ni kujua kama CHADEMA WATAWEZA KUUNDA HALMASHAURI YA JIJI LA MWANZA AU LA.
 
Back
Top Bottom