Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,794
Mashindano yoyote huleta msisimko kama kuna ushindani na washindani wenye kushindana kwa kwa vigezo huku masharti yakizingatiwa....
Matokeo ya kupangwa hupunguza mumkari na kuondoa msisimko wa shindano lolote... Upendeleo, mabavu, uonevu na rafu huku kukiwa na upendeleo wa wazi huwafanya washiriki, wapambe wao, wafuasi na mashabiki wa kawaida kuona kwamba hakuna maana ya kushiriki tena kama mashindano Kama hayo yakitokea....
Uchaguzi wetu wa serikali za mitaa umekosa msisimko kabisa kutokana na sababu tajwa hapo juu... Uandikishaji wa wapiga kura ni mbovu na wa kiwango cha chini
Watu wanaona hakuna haja ya kujiandikisha kwakuwa hata kama watapiga kura... Matokeo yanajulikana... Kila mtu anapotezea sasa....
Matangazo ya kuhamasisha uandikishaji haupaswi kuwa na viashiria vya upande fulani... Tunazidi kufeli...
Matokeo ya kupangwa hupunguza mumkari na kuondoa msisimko wa shindano lolote... Upendeleo, mabavu, uonevu na rafu huku kukiwa na upendeleo wa wazi huwafanya washiriki, wapambe wao, wafuasi na mashabiki wa kawaida kuona kwamba hakuna maana ya kushiriki tena kama mashindano Kama hayo yakitokea....
Uchaguzi wetu wa serikali za mitaa umekosa msisimko kabisa kutokana na sababu tajwa hapo juu... Uandikishaji wa wapiga kura ni mbovu na wa kiwango cha chini
Watu wanaona hakuna haja ya kujiandikisha kwakuwa hata kama watapiga kura... Matokeo yanajulikana... Kila mtu anapotezea sasa....
Matangazo ya kuhamasisha uandikishaji haupaswi kuwa na viashiria vya upande fulani... Tunazidi kufeli...