W werema01 Member Feb 10, 2010 47 0 Nov 1, 2010 #21 Habari zinachanganya, nlisikia baada ya kurudia kuhesabu kigoma mjini ccm akashnda..... Kwa sasa mambo yakoje? Numbers do matter
Habari zinachanganya, nlisikia baada ya kurudia kuhesabu kigoma mjini ccm akashnda..... Kwa sasa mambo yakoje? Numbers do matter
MwanajamiiOne Platinum Member Jul 24, 2008 10,470 6,562 Nov 1, 2010 #22 werema01 said: Habari zinachanganya, nlisikia baada ya kurudia kuhesabu kigoma mjini ccm akashnda..... Kwa sasa mambo yakoje? Numbers do matter Click to expand... Hivi Matokeo yangeonyesha CCM imeshinda wangekubali kura zirudiwe kuhesabiwe??
werema01 said: Habari zinachanganya, nlisikia baada ya kurudia kuhesabu kigoma mjini ccm akashnda..... Kwa sasa mambo yakoje? Numbers do matter Click to expand... Hivi Matokeo yangeonyesha CCM imeshinda wangekubali kura zirudiwe kuhesabiwe??
I ilboru1995 JF-Expert Member Oct 4, 2007 2,329 268 Nov 1, 2010 #23 Zitto again? anasimamia recount? chadema ijiandae kulipoteza hilo jimbo coz Zitto kashachukua mshiko kwa serukamba... prove me wrong...
Zitto again? anasimamia recount? chadema ijiandae kulipoteza hilo jimbo coz Zitto kashachukua mshiko kwa serukamba... prove me wrong...