Taarifa nilizopata sasa hivi ni kwamba kulikuwa na recount
kabla ya hapo mbunge alikuwa Ally(Chadema), kwa ushindi wa kura 450
baada ya recount Mbungev wakachakachua matokeo ikawa CCM kwa tofauti ya kura 1000 ila wanachi wamegoma matokeo , na wamepigwa mabomu ya machozi.Je kwa njia hii tutafika kweli???:sad:
kabla ya hapo mbunge alikuwa Ally(Chadema), kwa ushindi wa kura 450
baada ya recount Mbungev wakachakachua matokeo ikawa CCM kwa tofauti ya kura 1000 ila wanachi wamegoma matokeo , na wamepigwa mabomu ya machozi.Je kwa njia hii tutafika kweli???:sad: