Hili suala la shule ina wanafuzi 50 kuwekwa kundi moja na shule yenye wanafunzi 270 nadhani halijakaa vzr. Kungekuwa na utratibu mwingine wa kupanga haya matokeo maana ukiangalia shule yenye wanafunzi 270 unaweza kukuta (kwa mfano) kuna dv One 140, halafu yenye wanafunzi 60 ikiwa na dv 45. Lakini wakiziweka kwa rank utaambiwa yenye wanafunzi 60 iko juu.