Matokeo ya Kidato cha Nne, cha pili na darasa la nne mwaka 2019 yatangazwa

Ninamshukuru sana Mungu kwa matokeo ya watoto wangu, hakika Mungu ametutendea makuu katika familia yangu, binti ameondoka na div I form 4, mdogo wake ametoka na A zote std 4,hakika Mungu ni mwema
 
Mwaka huu wanafunzi wengi naona wameanguka sana somo la Physics, nini yaweza kuwa tatizo. Hongera kwa wadada waliomaliza st. francis hakika moto wao sio wa nchi hii ingawa wamekuwa wa pili kitaifa ila one za saba wamezipiga kwelikweli.

Bila shaka hata tanzania one atakuwa katoka hapa
Hata watoto waliporudi kutoka shule baada ya mtihani walilalamika, walisema necta walibadilisha format ya mtihani wa physics hasa kwenye practical
 
Mwanangu ana iii 24. Civ C Hist C Geog D Kisw C Eng C bios C maths F. Vipi advance ataenda au hata collage? ?
Naombeni mwongozo wajuvi

Cc Smart911

Sent using Jamii Forums mobile app
Anaweza, hasa hiyo HKL, sema Sahv wanaomaliza wengi na sio wote wataenda Advance rejea posts za mwaka jana.. Anaweza jikuta kapangiwa Mara sijui Chuo Cha maendeleo ya Jamii!!!

Typed Using KIDOLE
 
Kazi iliyobakia ni kuitumia sasa hio elimu waliyoipata.....sio tunamkuta chuo anaanza kugombania mabwana na wenzake baada ha kufanya uvumbuzi ama tafiti fulani katika eneo fulani hivi nyeti
Ninamshukuru sana Mungu kwa matokeo ya watoto wangu, hakika Mungu ametutendea makuu katika familia yangu, binti ameondoka na div I form 4, mdogo wake ametoka na A zote std 4,hakika Mungu ni mwema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongereni wazazi mliofaulisha Watoto wenu. Na pia kwa mliofelisha msikate tamaa Kuna vyuo vya ufundi pia vinaweza saidia kuwapeleka Watoto wenu huko.

Pia naomba kutoa ushauri kwa wazazi ambao mnauwezo wa kipesa na Watoto wenu wamefaulu vizuri(div 1&2) msiwapeleke Watoto wenu advance badala yake muwapeleke Diploma za Maana kufupisha msafara wa elimu usio kuwa na Maana.
Ila Kama hujiwezi kiuchumi muache mtoto aende advance akatafute ticket ya kupata mkopo wa chuo ili afikie malengo yake.
Kupitia Diploma ni kumpitisha mtoyo njia ndefu....Maana amalize Diploma, afanye kazi..aje tena baadae kujiendeleza kupata Degree.

Labda kuModify ushauri wako useme hivi ""Wawapeleke Diploma, wakishamaliza Diploma...waunganishe Degree"""

yaani mtoto anapomaliza Diploma aunge Degree, hii nitakuunga mkono kidogo.

Na Diploma aaangalie za fani ipo! (I recommend zile za afya).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninamshukuru sana Mungu kwa matokeo ya watoto wangu, hakika Mungu ametutendea makuu katika familia yangu, binti ameondoka na div I form 4, mdogo wake ametoka na A zote std 4,hakika Mungu ni mwema
Watoto wako Au!?? Hiyo range Veepee!!??
 
Back
Top Bottom