Hata watoto waliporudi kutoka shule baada ya mtihani walilalamika, walisema necta walibadilisha format ya mtihani wa physics hasa kwenye practicalMwaka huu wanafunzi wengi naona wameanguka sana somo la Physics, nini yaweza kuwa tatizo. Hongera kwa wadada waliomaliza st. francis hakika moto wao sio wa nchi hii ingawa wamekuwa wa pili kitaifa ila one za saba wamezipiga kwelikweli.
Bila shaka hata tanzania one atakuwa katoka hapa
Leo matokeo hata hayasumbui kufunguka......mkuu naangaika na link ya matokeo ya darasa la nne nimekosa nasubil badae kidogo ila bado mkuu akitinyanga Kaz ntapata kesi Leo
Anaweza, hasa hiyo HKL, sema Sahv wanaomaliza wengi na sio wote wataenda Advance rejea posts za mwaka jana.. Anaweza jikuta kapangiwa Mara sijui Chuo Cha maendeleo ya Jamii!!!Mwanangu ana iii 24. Civ C Hist C Geog D Kisw C Eng C bios C maths F. Vipi advance ataenda au hata collage? ?
Naombeni mwongozo wajuvi
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninamshukuru sana Mungu kwa matokeo ya watoto wangu, hakika Mungu ametutendea makuu katika familia yangu, binti ameondoka na div I form 4, mdogo wake ametoka na A zote std 4,hakika Mungu ni mwema
Hizi data vipi? Form four walikuwa 1.6M lakini kidato cha pili wapo 0.5M. Hizi ni data za nchi yetu kweli?
Napata wasiwasi kuamini kuwa enrolment ilishuka sana kiasi hiki.
Mbona ya private candidates hawajaweka kwann?Leo naona matokeo hayasumbui kabisa,hongereni necta kwa kazi nzuri...
Mkuu, Sorry...naomba ututumie page namba 17, tuone mwendelezo wa Wanafunzi 10 bora CSEE 2019...Maana hapo Page 16 imeishia kuwataja Wanafunzi 6 tuKuna maelezo ya ziada hapa.
View attachment 1317038View attachment 1317039View attachment 1317040View attachment 1317041View attachment 1317042View attachment 1317043View attachment 1317044View attachment 1317045View attachment 1317047View attachment 1317048View attachment 1317049View attachment 1317053View attachment 1317054View attachment 1317055View attachment 1317057View attachment 1317058
Kupitia Diploma ni kumpitisha mtoyo njia ndefu....Maana amalize Diploma, afanye kazi..aje tena baadae kujiendeleza kupata Degree.Hongereni wazazi mliofaulisha Watoto wenu. Na pia kwa mliofelisha msikate tamaa Kuna vyuo vya ufundi pia vinaweza saidia kuwapeleka Watoto wenu huko.
Pia naomba kutoa ushauri kwa wazazi ambao mnauwezo wa kipesa na Watoto wenu wamefaulu vizuri(div 1&2) msiwapeleke Watoto wenu advance badala yake muwapeleke Diploma za Maana kufupisha msafara wa elimu usio kuwa na Maana.
Ila Kama hujiwezi kiuchumi muache mtoto aende advance akatafute ticket ya kupata mkopo wa chuo ili afikie malengo yake.
K2; Arusha ya Kwanza, Kilimanjaro ya 3; K4; Kili ya Kwanza, Arusha ya 2;Mi nasubiri ule ubishano wa ki kanda au mikoa tuuu
nimeyapata mkuu asubuh ilikuwa tabu kuyapata but thank God Ninja Jr kapiga KO 😂😂😂Leo matokeo hata hayasumbui kufunguka......
Watoto wako Au!?? Hiyo range Veepee!!??Ninamshukuru sana Mungu kwa matokeo ya watoto wangu, hakika Mungu ametutendea makuu katika familia yangu, binti ameondoka na div I form 4, mdogo wake ametoka na A zote std 4,hakika Mungu ni mwema
mkuu nimetupa fimbo nimeenda kumnunulia zawad kapiga KO ya maana 😂😂😂Mkuu umefikia wapi na Ninja Jr?
Naona kama hiyo fimbo ilitakiwa itumike kabla ya kufanya mitihani, sio wakati wa kupokea matokeo.