pmwasyoke
JF-Expert Member
- May 27, 2010
- 4,592
- 2,978
Sijawahi kusikia, haitatokea na wala haipendezi kusikia kitu kama Abdalah's law of motion au Khalfan's principle of ....... It sounds good unaposikia kitu kama Newton's Law of Motion, Charles's and Boyles's Law, Ohm's Law, Albert Einstain, n.k. Kwa hiyo, kinachotokea sasa hapa nchini, ni mwendelezo wa mambo yaliyoanza tangu enzi na enzi.
Hapo pekundu umeniacha hoi bi taaban