Matokeo ya Form four 2007

St. Mary wanaongoza kwa kutoa 10 bora kitaifa.. siri yao ni nini?
Go go girls! Siri ni kujiamini kuwa unaweza. Hili limenifurahisha sana kwamba watoto wa kike wameweza kutambua uwzo wao na wamefanya kweli! Bravo St Francis.
Zamani sisi tulipoliburuza paper kule Zoo walidai eti tumeonyeshwa! Wanaume bwana wanaona sisi hatuna akili....au
 
Is there any body who knows other site which shows the results

We mkuu umepewa kiunganishi cha tovuti ya Umma inayogharimiwa na walipa kodi, sasa unataka tovuti gani tena?

Mwanakijiji can you help this person?
 
site hii iko slow sana, labda huko sehemu nyingine, but here in middle east its really slow
 
Go go girls! Siri ni kujiamini kuwa unaweza. Hili limenifurahisha sana kwamba watoto wa kike wameweza kutambua uwzo wao na wamefanya kweli! Bravo St Francis.
Zamani sisi tulipoliburuza paper kule Zoo walidai eti tumeonyeshwa! Wanaume bwana wanaona sisi hatuna akili....au

Mama lao,
Wanaume wana visa we acha tu, yani wasichana wakifaulu eti wameiba paper. Hii inaprove wanawake wakiamua ku utilize mind zao, they are even better than men. Braaaaaaaaaaavo St Francis,
 
Matokeo ya mwaka huu yanapatikana

www.necta.go.tz

Mara nyingi hawa jamaa wa Necta huwa wanachelewa sana ku upload matokeo kwenye site yao.

Hata site maarufu za Tanedu na Wizara hawajaweka mpaka sasa.

Kwa mwenye kujua site iliyokwisha weka matokeo atuhabarishe pls.
 
Masanja,

Either U are naive or a kind of Govt agent. Site ya NECTA huwa haifanyi kazi ikipayta hits nyingi, wengine tumeshalalamika mpaka kwa wakubwa lakini hawataki kuongeza bandwith.

Ni tatizo sugu serikalini, huwa hawaendi na wakati.

Kwa ufupi hiyo link ya results haifanyi kazi barabara!
 
We mkuu umepewa kiunganishi cha tovuti ya Umma inayogharimiwa na walipa kodi, sasa unataka tovuti gani tena?

Mwanakijiji can you help this person?


Nahisi imekua crammed, can't get it as well.
 
Masanja,

Either U are naive or a kind of Govt agent. Site ya NECTA huwa haifanyi kazi ikipayta hits nyingi, wengine tumeshalalamika mpaka kwa wakubwa lakini hawataki kuongeza bandwith.

Ni tatizo sugu serikalini, huwa hawaendi na wakati.

Kwa ufupi hiyo link ya results haifanyi kazi barabara!
Ni kweli hii site ya NECTA huwa ni slow sana na tangia jana walipotangaza matokeo haifunguki kabisa!

Nadhani wana tatizo la kiufundi au badwidth yao ni ndogo sana ukilinganisha na watumiaji.
 
Go Girls, Go Higher And Reach Your Dreams. Bravo To All Who Made It.
 
Jamani hii thread ilitakiwa kwenda kule jukwaa la Elimu, sio hapa kwenye siasa!
Ni mtazamo tu.
 
Back
Top Bottom