Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
nimekuwa nikifuatilia matokeo ya matokeo ya shule nyingi lakini cha kushangaza siku matokeo yanatangazwa katibu mkuu balaza la mitihani alisema kiwango cha kufaulu kimeongezeka ukilinganisha na mwaka jana na mwaka juzi.........hivi tuweni wa kweli mimi sijaona kiwango chochote kimeongezeka mimi naona ni matokeo ni mabaya kuliko miaka yote........