Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Nakuambia sababu nimepita huko

Hakuna AMO mwenye uwezo wa kumfundisha CEO , Hata MD n mmoja mmoja sana

Kwanza I think Nina module ya Anatomy.. ngoja nikupipigie picha uone walio iandaa, nikifika tu home, i think ipo
You are fucked up,more and more my sister.............walimu wa CO ni MD na AMO......specialist....... aache mambo yake aanze kudeal na vichwa maji CO kama wewe
 
Hizi zote CO wanasoma pia, na sio kwamba CO anakua shallow, sio lugha sahihi, ni MD anakua little bit deeper , hilo hatukatai ila kwenye kazi wanafanya kitu kimoja
MD hawezi fanya kitu sawa na CO?.........MD ni daktari,CO ni tabibu tu......
 
Wengi wanaochangia kusupport huu ujinga either ni wajinga ama watoto sana.........serikalini hata mshahara wa CO uzidishe mara mbili bado,atakua anadaiwa zaidi ya laki 3 na MD.......na hii ni kwasababu CO sio daktari
Tamisemi Co -680,000/=, Md 1,480,000/= tofauti laki 8
 
Kwamba AMO akamfundishe CO?

Katika watu walio andika ujinga JF leo , unashika namba moja

Yani assistant medical officer awe bora kuliko Clinical officer kias cha kumfundisha.. alooo
Sasa unachoshangaa ni nini?! AMO anafundisha CO sema siku hizi AMO wamekuwa wachache sana sio kama zamani.
Hata mkuu wako wa chuo ulichosoma CO kama sio MD ni nani?!
 
Tamisemi Co -680,000/=, Md 1,480,000/= tofauti laki 8
Yaah ni kweli,laki nane ni ndogo sana aisee..........kwa miasha ya kitanzania
N.B.
Mshahara wa C.O uzidishe mara mbili,bado MD anakua anamdai C.O zaidi ya laki 3
Na kila mwenye akili anajua kua C.O sio daktari
 
MD na CO hawakaribiani hata kidogo. Muulize CO aliyesoma MD atakwambia.

Ma CO wengi hawajui msingi mzima wa elimu ya Afya. Ni kama watu wa kubahatishabahatisha ambao baada ya muda wanakuwa vizuri kutokana na uzoefu. Kuna mambo wanafanya na mtu anapona lakini msingi mzima wa elimu ya Afya hawana. Hekaya nyingi za kiafya nchi hii zimezalishwa na ma CO.
We umeiweka vizuri sana, ambacho najaribu kukielezea.
 
Kimsingi kuna makosa , CO hatakiwi soma miaka mitano anapotaka chukua degree, miaka miwil mitatu nyuma ilikuwepo hoja kwamba mtu kama amepitia CO basi wakat anaenda MD asome miaka mitatu na kama itakua ngumu basi waendelee na level zao hizo hizo za NTA levels

Upande wa Nurses nakubaliana nawe, nimeliona wakati niko clinical rotations, wanapiga kazi na wana uwezo mkubwa sana , alafu unakuta ana diploma tu ,sijui kwann wanalipwa mishahara midogo , wanapiga kazi sana hawa watu kuliko doctors

Tatizo basic science ya CO ipo shallow sana ambayo ndiyo msingi mkuu wa tiba, imagine CO hasomi biochemistry utawezaje ku anaylse vipimo/majibu kama Liver function test, renal function test, lipid profile etc..achilia mbali hayo ma CO wengi vitu basic kama majibu ya Full blood picture kuya analyse mtihani, urinalysis ndio kipengele, then ulinganishe na MD

Kuhusu ku-upgrade kwa miaka 2/3 labda uwe AMO tu ambayo imefutwa.


Kuna mdau kasema ukitaka comparison vizuri uliza mtu aliyekua CO then akasoma MD.
 
Kwamba AMO akamfundishe CO?

Katika watu walio andika ujinga JF leo , unashika namba moja

Yani assistant medical officer awe bora kuliko Clinical officer kias cha kumfundisha.. alooo
AMO wengi ni walimu wa C.O na miongozi inaruhusu AMO kufundisha C.O..............by the way unaonesha ujinga wapi waziwazi hapa jukwaani,AMO anaanza na TGHS C wakati C.O anaanza na B.......sio tu mshahara hata kieliemu A.M.O ni kama advanced Diploma
 
Kwamba AMO akamfundishe CO?

Katika watu walio andika ujinga JF leo , unashika namba moja

Yani assistant medical officer awe bora kuliko Clinical officer kias cha kumfundisha.. alooo
AMO wengi ni walimu wa C.O na miongozo ya NACTE inaruhusu AMO kufundisha C.O..............by the way unaonesha ujinga wako waziwazi hapa jukwaani,AMO anaanza na TGHS C wakati C.O anaanza na B.......sio tu mshahara hata kieliemu A.M.O anamzidi C.O,A.M.O ni advanced Diploma
 
Kwani sheria inayosimamia na kutambua haya masuala inawatambuaje hao wahusika ma CO na ma MD?, I'm sure wameelezewa mahali ni vile sina muda mzuri tu wakufuatilia ila nikifuatilia nitawajuza.

Nadhani kuna mmoja ni para-professional hapo na bila shaka ni CO, sina upande ila nimesema tu waungwana wa Afya.
 
Yaah ni kweli,laki nane ni ndogo sana aisee..........kwa miasha ya kitanzania
N.B.
Mshahara wa C.O uzidishe mara mbili,bado MD anakua anamdai C.O zaidi ya laki 3
Na kila mwenye akili anajua kua C.O sio daktari
680,000 × 2 = 1,360,000

1,480,000 - 1,360,000 = 120,000

Acha ushabiki maandazi
 
Natamani kuchangia hii mada ila naona imejaa ushabiki sana! CO na MD lao ni moja, majukumu ya kazi yanafanana, Bodi ya kuwasimamia ni moja, kiufupi kazini huwezi kuona tofauti yao wakiwa kwenye majukumu yao ya kawaida!

MD tofauti yake na CO ni Level ya Elimu na si vinginevyo! Kama ni issue ya uwezo wa kutimiza majukumu yake kwa ufanisi.... Pia kuna MD ambao ni vilaza wa kutupa na wakati huo huo kuna ambao wako vizuri sana, hivyo hivyo kwa CO kuna wenye uwezo mkubwa sana na vilaza wapo pia.

MD zenyewe hizi za St. Joseph, Kampala n.k unakuta ni tofauti sana na MUHAS, UDOM n.k

Pia CO anayetoka Bombo Tanga, kibaha, Machame, Sengerema mara nyingi unakuta wana tofauti kubwa na hawa wa City collage, Tabdabui , DECCA n.k
MD haitolewi eti kwa sababu umesoma MUHAS,St JOSEPH au UDOM.......MD hutolewa kwa chuo chochote kile Tanzania kilichokizi vigezo vya T.C.U vya kutoa kozi ya MD.
Mtu hawi MD eti kwa sababu anajua kufanya procedure nyingi sana ama Cheti chake kina A nyingi sana,ama anajua vitu vingi sana,mtu huwa MD sababu amesoma chuo kinachotambulika na serikali na kufaulu masomo yake ya chuo semester kumi.
......lazima ulitambue hilo,na hayo yote hayaondoi zana kula C.O sio daktari
 
Naona nacte wameanza kuwa wakali, yajayo yanasikitisha
Wamechelewa sana,wangefuta yote tu udanganyifu ni mwingi mno kwa wote waliofanya mitihani iliyopita. Mtu toka mwaka wa kwanza mpaka mwisho anapata karai kwenye kila somo,mtihani wa mwisho zote anapiga A tupu,kweli???
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom