Matokeo ya CO mwaka wa pili yashikiliwa NACTE Tanzania nzima

Action and Reaction

JF-Expert Member
Oct 16, 2021
1,327
1,343
Taarifa rasmi ni kwamba matokeo ya mwaka wa pili ya udaktari CO yameshikiliwa NACTE kwa vyuo vyote vya afya baada ya kusemekana paper kuvuja Tanzania nzima pamoja na marking scheme kupelekea GPA kuwa juu mnoo!
Yaaan madogo wangekuwa washachomoka!
Maoni yangu serikali KWANZA ibaini chuo kilichovujisha mitihani itakuwa poa sana na kukifungia kabisaa!
 
Taarifa rasmi ni kwamba matokeo ya mwaka wa pili ya udaktari CO yameshikiliwa NACTE kwa vyuo vyote vya afya baada ya kusemekana paper kuvuja Tz nzima pamoja na marking scheme kupelekea GPA kuwa juu mnoo!
Yaaan madogo wangekuwa washachomoka!
Maoni yangu serikali KWANZA ibaini chuo kilichovujisha mitihani itakuwa poa sana na kukifungia kabisaa!
Marking scheme ya clinical medicine level 5 huwa hazitumwi vyuoni isipokuwa level 4 so hapo tatizo limeanzia wizarani huko huko wajitafakari.
Kila mwaka mitihani huvuja Ila mwaka huu imezidi
 
Clinical officer ni.. non-clinical .. ila ni clinical officer

Anyway.. wanasema sehem kubwa ya Watanzania n vichaa , here is one of them
Kuna watu wakisoma MD wanaona wengine waliosomea afya ni takataka..leo hii et C.O si daktari sijui yeye hajasoma hizo anatomy,physiology na pharmacology na zinginezo..ili kutibu magonjwa..acheeni roho mbaya za chuki..wote mnajenga nyumba moja mbona ku nyanganyana fito..kisa digrii.

#MaendeleoHayanaChama
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom