bulinge
Member
- Jan 30, 2012
- 32
- 4
mm ni mwanafunzi ktk chuo kimoja wapo kilicho chini ya wizara ya maliasili na utalii na 23 -dec-2013 matokeo yalitolewa bila kupitishwa na bodi ya chuo.
sababu iliyopelekea matokeo hayo kutopitishwa na bodi ni bodi iliyokuwepo kumaliza muda wake na waziri wa maliasili na utalii alikuwa hajateua bodi ya chuo tokea mwezi wa sita bodi hiyo ilipomaliza muda wake.Je ?kisheria ni sahihi matokeo kutolewa bila kupitishwa na bodi?
Naomba msaada wenu.
sababu iliyopelekea matokeo hayo kutopitishwa na bodi ni bodi iliyokuwepo kumaliza muda wake na waziri wa maliasili na utalii alikuwa hajateua bodi ya chuo tokea mwezi wa sita bodi hiyo ilipomaliza muda wake.Je ?kisheria ni sahihi matokeo kutolewa bila kupitishwa na bodi?
Naomba msaada wenu.