Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Wewe hutapata hasara kwa sababu una ubia na JakayaKususia hata kikao kimoja ni kutotutendea haki sisi tuliowachagua.
Pia kutoitambua serikali ni kukimaliza chama kisiasa. Watakosa mengi Bungeni na Serikalini!
Kwa kifupi kususia kuna negative impact mbaya sana!