Matokeo ya Chadema Kususia Hotuba ya JK na Kuapishwa kwa Pinda

Wasusie tu, mradi tu wasikose kuhudhuria vikao vitatu mfululizo, vinginevyo wataendelea kuwa wabunge

Kususia hata kikao kimoja ni kutotutendea haki sisi tuliowachagua.
Pia kutoitambua serikali ni kukimaliza chama kisiasa. Watakosa mengi Bungeni na Serikalini!
Kwa kifupi kususia kuna negative impact mbaya sana!
 
Kususia hata kikao kimoja ni kutotutendea haki sisi tuliowachagua.
Pia kutoitambua serikali ni kukimaliza chama kisiasa. Watakosa mengi Bungeni na Serikalini!
Kwa kifupi kususia kuna negative impact mbaya sana!

Nenda huko ulichagua CCM na umepigia debe CCM na CCM watahudhuria sherehe so watakutendea haki; tuliowachagua watu wetu tuwashauri; hatutaki wahudhurie kumsifia mwizi na jangili wa kura za wananchi tena asiyefikiria kuomba msamaha kwa udhalimu mbaya anataka kusifiwa kwa wizi?; naomab sana iwe hivyo
Kwa taarifa tu miaka 5 hii JK hatatoka kuomba misaada maana kila kona atauliuzwa mbona umeiba kura? alijivunia 80% this time hamna jinsi ameporomoka;unaweka hoja ili muonekane mnawaonea huruma. Na kwa taarifa kosa serikali itakalofanya ni kuwabagua maana chuki itakayotoka hapo ndio itawaumbua maana kila hatua wananchi watapewa taarifa kilichojiri; Chadema muendeelee na msimamo huo na ndio msimamo wa mamilioni waliopiga kura maana huwezi kula kikombe kimoja na mwizi ni unafiki mkubwa sana
 
Pasco,Rutashubanyuma,

..Chadema wanatakiwa kususia shughuli zote zile zinazoongozwa au zitakazomshirikisha Jakaya Kikwete.

..Hafla ya kuapishwa kwa Waziri Mkuu ni moja ya shughuli hizo.

..pia wanapaswa kususia hotuba ya Kikwete pale bungeni.

..ni vizuri Chadema waka-send a message kwamba kuna matatizo ktk tume yetu ya Uchaguzi na hawakuridhishwa na mwenendo mzima wa uchaguzi mwaka huu.

..siku ambayo Kikwete atakwenda bungeni kuhutubia watakuwepo Mabalozi na wageni mbalimbali muhimu, hivyo ni vizuri Chadema wakatuma ujumbe hapo hapo kwa marafiki zetu kwamba hali si shwari.

..nachukulia kitendo hicho kama juhudi za Chadema kushinikiza mabadiliko ktk sheria zetu za uchaguzi na utendaji wa tume ya uchaguzi kwa faida ya Watanzania wote.

..ni aibu kwa Tume ya Uchaguzi na serikali ya Chama cha Mapinduzi kutufikisha mahali ambapo chama kikuu cha Upinzani kinakataa kumtambua Raisi wa nchi na kususia shughuli anazoziongoza kutokana na mfumo mbovu wa uchaguzi.

NB:

..kitendo cha Chadema hakimaanishi kwamba JK hatafanya shughuli zake kama Raisi. pia haimaanishi kwamba mataifa ya nje yatamsusia, Nigeria walifanya uchaguzi mchafu kuliko wa kwetu and still Ya'Ardu["baba go slow"] alitambuliwa jumuiya ya kimataifa.

..pamoja na hayo nakuhakikishia hakuna njia ya AMANI na KIUNGWANA ya kupinga uchaguzi na kutetea kuwepo kwa Tume huru zaidi ya hiki wanachokifanya Chadema.

Marafiki wa Chadema?
Hawa ndio wanaoagiza Chadema ifanye nini?
Yale yale ya Tsivangirai ya kutumiwa na nchi za Magharibi.
 
On the go CHADEMA MPs. That's a very clear message. Hakuna kumshabikia mwizi. Mwizi akiiba chakula na wewe ukajua kuwa ameiba lakini ukaenda kula naye basi ninyi wote ni wezi. Hakuna kufungamana na mwizi. Inakera sana kutawaliwa na genge la wezi.
 
Rutashubanyuma, nakubaliana na wewe kuhusu kupingana kwa hoja, na kwenye mjadala, hoja isiyo na mashiko hupanguliwa kwa hoja, sio kwa hisia au dhana, nimekukubalia kuwa kwa Chadema kutomtambua rais, hakumfanyi rais asiwe rais, kwa sheria yetu mbovu ya ajabu na kideteta ya hali ya juu, Tume ikishamtangaza mshindi, biashara ndio imeishia hapo, no more deals, negotioatis or discussions its over no matter what, hii ni sheria ya iitwayo 'the end justify the means', hata kama ulishinda kwa kuiba, hila, udhalimu, ua kwa mbinu zozote, maadam umeshinda wewe, its over. Hiki ndicho kilichotokea Kenya na Zimbabwe, hakiwezi kutokea kwetu kwa sababu Watanzania ni watu wapole, watu wa amani, watu watulivu, wavumilivu, wastahimilivu, hawapendi shari, kila wanachofanyiwa wao ni hewalla mzee, hivi ndivyo tulivyo na ndivyo tunavyoendelea kuwa.

Ina maana unaongelea upole,amani,uvumilivu na ustahimilivu wa Tz walionyesha kule Nyamagana,Ilemela,Shinyanga Mjini,Kigoma Mjini,Karagwe,Mbeya Mjini,Ubungo,Kawe,Arusha Mjini na sehemu nyingine?Watz wachache sana wanajua umuhimu wa kudai haki,waliobaki ndio hao unawaongelea wwe,ila watz sio wapole bali wamerundika hasira na mwisho unakalibia.Huo msamiati wa Amani na Utulivu utafika kikomo,maana wanautumia sana kuwanufaisha wao.Nini maana amani?Huna ajira utukuwa na amani?Una njaa utakuwa na amani?Vitu vinapanda bei kihorela kutakuwa na amani?Mikopo inatolewa kwa kujuana na mashariti magumu!Eti amani na utulivu!!!
 
This is too Much, a lot of tetesi tetesi!!!

Hizi tetesi zinatuchanganya, halafu hizi thred mbona zimekuwa nyingi mno yani kila mtu anakuja na yake sasa hapa unashindwa kuelewa ufate ipi.
Mimi kwa dhati kabisa nawaomba CHADEMA watuwekee matangazo kule kwenye website yao, maana huko ndo tutakuwa na uhakika kuwa ni official information kuliko kila mtu kuja hapa jamvini na kuweka story zake.
 
Kishongo said:
Marafiki wa Chadema?
Hawa ndio wanaoagiza Chadema ifanye nini?
Yale yale ya Tsivangirai ya kutumiwa na nchi za Magharibi.

Kishongo,

..I made ana error there, kauli sahihi ingekuwa kutuma ujumbe kwa wa-Tanzania wote na nchi marafiki na wahisani.....

..sidhani kama Chadema wameagizwa na nchi marafiki/wahisani. after all mpaka sasa hivi karibu wote wameutambua "ushindi" wa JK.

..so far CCM hawana mgogoro wowote ule na nchi za magharibi, hali yetu ni tofauti kabisa na kilichotokea Zimbabwe, kwa msingi huo Chadema hawajatumwa na nchi yoyote ile ya nje.
 
Rutashubanyuma, nakubaliana na wewe kuhusu kupingana kwa hoja, na kwenye mjadala, hoja isiyo na mashiko hupanguliwa kwa hoja, sio kwa hisia au dhana, nimekukubalia kuwa kwa Chadema kutomtambua rais, hakumfanyi rais asiwe rais, kwa sheria yetu mbovu ya ajabu na kideteta ya hali ya juu, Tume ikishamtangaza mshindi, biashara ndio imeishia hapo, no more deals, negotioatis or discussions its over no matter what, hii ni sheria ya iitwayo 'the end justify the means', hata kama ulishinda kwa kuiba, hila, udhalimu, ua kwa mbinu zozote, maadam umeshinda wewe, its over. Hiki ndicho kilichotokea Kenya na Zimbabwe, hakiwezi kutokea kwetu kwa sababu Watanzania ni watu wapole, watu wa amani, watu watulivu, wavumilivu, wastahimilivu, hawapendi shari, kila wanachofanyiwa wao ni hewalla mzee, hivi ndivyo tulivyo na ndivyo tunavyoendelea kuwa.

Ina maana unaongelea upole,amani,uvumilivu na ustahimilivu wa Tz walionyesha kule Nyamagana,Ilemela,Shinyanga Mjini,Kigoma Mjini,Karagwe,Mbeya Mjini,Ubungo,Kawe,Arusha Mjini na sehemu nyingine?Watz wachache sana wanajua umuhimu wa kudai haki,waliobaki ndio hao unawaongelea wwe,ila watz sio wapole bali wamerundika hasira na mwisho unakalibia.Huo msamiati wa Amani na Utulivu utafika kikomo,maana wanautumia sana kuwanufaisha wao.Nini maana amani?Huna ajira utukuwa na amani?Una njaa utakuwa na amani?Vitu vinapanda bei kihorela kutakuwa na amani?Mikopo inatolewa kwa kujuana na mashariti magumu!Eti amani na utulivu!!!
 
Big up Wabunge wetu makini, Message must be sent to international community and all Tanzanians who love this country
 
Kisiasa hii move ingeweza kufaa ila wamekosea kuianza.
Walichotakiwa kufanya ni kutokuandika kitu kwenye ile karatasi ya kumchagua waziri mkuu na tungeona kura zao 45/46 zimeharibika. Hii ingemaanisha kuwa hawamtambui Rais na hata uteuzi wa waziri mkuu aliyependekezwa ni batili. Kwa kupiga kura ya hapana ujumbe wanaotoa ni kwamba, wanamtambua Rais ila hawaungi mkono uteuzi wa waziri mkuu aliyependekezwa.
Niko curious kuona hizi mbio za kutokumtambua Rais zitaishia wapi!
 
Kususia hata kikao kimoja ni kutotutendea haki sisi tuliowachagua.
Pia kutoitambua serikali ni kukimaliza chama kisiasa. Watakosa mengi Bungeni na Serikalini!
Kwa kifupi kususia kuna negative impact mbaya sana!

Kwenye ujumbe huu, huyu Kishogo anayejifanya ana uchungu na Chadema anasema
Mtambue, msimtambue, Watanzania walio wengi wanamtambua, ndio maana wakamchagua kwa kura nyingi.
Chaguo lao liheshimiwe!!!

Kutoka: https://www.jamiiforums.com/results...e-kuwa-ni-rais-wa-nchi-yangu.html#post1241899

Nafikiri wengi wanaojifanya Kupinga Chadema kususia kikao cha Kikwete ni CCM.


Viongozi wa Chadema kama WATATOKA siku hiyo MBELE YA MABALOZI na Wageni Waalikwa, itakuwa ni PIGO kubwa sana kwa CCM kwa ujumla. Sasa hivi wanahaha kushoto na kulia ili kuificha hali hiyo. Hakuna raha kama kuwaona Wabunge wote wa chadema wakiwa wamekaa na mara Kikwete akiingia, wao waendeleee kukaa kama vile hawamuoni.
Atakasimama tu kuanza kuongea "wawe tayari kuondoka", akitoa tu sauti kwa neno la kwanza, hapo ndipo wakurupuke na kuanza kuondoka ili asimamishe hata hotuba yake ili kusubiri Chadema waondoke ukumbini. Hili litauma sana............
 
Kisiasa hii move ingeweza kufaa ila wamekosea kuianza.
Walichotakiwa kufanya ni kutokuandika kitu kwenye ile karatasi ya kumchagua waziri mkuu na tungeona kura zao 45/46 zimeharibika. Hii ingemaanisha kuwa hawamtambui Rais na hata uteuzi wa waziri mkuu aliyependekezwa ni batili. Kwa kupiga kura ya hapana ujumbe wanaotoa ni kwamba, wanamtambua Rais ila hawaungi mkono uteuzi wa waziri mkuu aliyependekezwa.
Niko curious kuona hizi mbio za kutokumtambua Rais zitaishia wapi!
Chadema hawana unafiki kama hawakutaki wanakuambia direct NO kuliko kunyamaza eti kutokuandika kitu.
 
Nafikiri wengi wanaojifanya Kupinga Chadema kususia kikao cha Kikwete ni CCM.

Viongozi wa Chadema kama WATATOKA siku hiyo MBELE YA MABALOZI na Wageni Waalikwa, itakuwa ni PIGO kubwa sana kwa CCM kwa ujumla. Sasa hivi wanahaha kushoto na kulia ili kuificha hali hiyo. Hakuna raha kama kuwaona Wabunge wote wa chadema wakiwa wamekaa na mara Kikwete akiingia, wao waendeleee kukaa kama vile hawamuoni.
Atakasimama tu kuanza kuongea "wawe tayari kuondoka", akitoa tu sauti kwa neno la kwanza, hapo ndipo wakurupuke na kuanza kuondoka ili asimamishe hata hotuba yake ili kusubiri Chadema waondoke ukumbini. Hili litauma sana............
Kweli Sikonge kuna watu wanajifanya kuionea huruma Chadema kinafiki eti wasipohudhuria bunge wanawanyima haki yao wakati juzi walikuwa watu wa kwanza kuwaponda wabunge wake.

Hii chance ya hotuba ya ufunguzi kama Chadema watai miss hawatapata wakati mwingine mwafaka wa kumpelekea Kikwete na CCM yake message, kinachotakiwa ni kumwonyesha wazi kuwa hawaridhiki na matokeo baada ya hapo ndipo wahamishie mapambano bungeni.
 
PASCO
Hoja zako ni nyepesi mno! CDM kuto hudhuria vikao vinavyo fanywa na rais haina maana wamelikataa bunge,unaposema watake wasitake lazima wamtambe rais kwakuwa waziri mkuu ni mkuu wa shughuli za serikali bungeni na anateuliwa na rais na ndio watafanya naye kazi vinginevyo hawata fanya kazi bungeni una maanisha nini? Hotuba ya CDM kubitia mwenyekiti wake ambaye wewe humtaki uliisikiliza kweli wewe au una chukulia vitu kwa nadhalia tu.Hivi unajito akili kabisa kuwa mhimili wa bunge na kazi zake huzi jui, nahivi kususia hotuba ya raisi ni kususia bunge? au sikuhizi spika wa bunge amekuwa waziri mkuu au mimi sielewi unaunganishaje hoja yakuto mtambua rais na waziri mkuu na shughuli za bunge sheria zina semaje juu ya hili jambo? au tuna shauri kulingana natunavyo fikiri ila sio hali halisi?
 
Nakwambieni CHADEMA uzi ni ule ule, susieni kuonyesha hamkubaliani na wizi wa CCM. Tena msisusie hapa mwanzoni. Cha maana ni nyie kususia matukio muhimu ambayo kweli yataleta impact kubwa. Kwa mfano ili la hotuba ya JK, mkisusia au mkitoka bungeni wakati ye anaingia halafu mkaonekana kwenye luninga na kwa wageni wa vyombo vya Dunia basi automatically msg itasambaa Duniani kote kuwa kwenye huo uchaguzi ambao wahisani walidanganywa ni halali na wa haki, kuna something which is very wrong! Pia itawauma sana CCM, kwani hivi kwamfano wewe umefanya party yako halafu wahusika eg, nduguzo (CHADEMA, ni ndugu kwa mantiki kuwa nao wanashiriki bunge pamoja na CCM) waliohudhuria kwenye party hiyo wanaanza kuondoka wakati mgeni rasmi anaanza kuingia, unazania wewe utajisikiaje? Utajiuliza maswali mengi, pilau langu sahani 46 hazitaliwa, wageni wengine wameshuhudia ndugu zangu wakiondoka, na wageni nao watajiuliza hivi huyu mwenye sherehe kwani ana ugomvi gani na hawa nduguze? Hiyo itasababishia wageni waanze kufuatilia kwa kina na saa nyingine hata waogope kuhudhuria shughuli zako kwa kuepuka maugomvi ya wana ndugu. Hapo ujumbe utakuwa umefika na hatua zitachukuliwa tu. Na nawasa CHADEMA na sisi wana JF tusajisahau na kusahau uwizi wa CCM iliofanya mwaka huu. Hii iwe chachu ya kuongeza mapambano, kuukumbusha umma na ulimwengu kuwa CCM ni wezi. Tukichanganya na ufisadi na kusambaza matawi nchi nzima na kupigania katiba kandamizi ibadilishwe. Nadhani haki ata the end and very soon itapatikana. Infact kwa CHADEMA kampeni zianze mapema kuanzia sasa kama CCM inavyojipanga kushinda mwaka 2015.
 
Rutashubanyuma, nakubaliana na wewe kuhusu kupingana kwa hoja, na kwenye mjadala, hoja isiyo na mashiko hupanguliwa kwa hoja, sio kwa hisia au dhana, nimekukubalia kuwa kwa Chadema kutomtambua rais, hakumfanyi rais asiwe rais, kwa sheria yetu mbovu ya ajabu na kideteta ya hali ya juu, Tume ikishamtangaza mshindi, biashara ndio imeishia hapo, no more deals, negotioatis or discussions its over no matter what, hii ni sheria ya iitwayo 'the end justify the means', hata kama ulishinda kwa kuiba, hila, udhalimu, ua kwa mbinu zozote, maadam umeshinda wewe, its over. Hiki ndicho kilichotokea Kenya na Zimbabwe, hakiwezi kutokea kwetu kwa sababu Watanzania ni watu wapole, watu wa amani, watu watulivu, wavumilivu, wastahimilivu, hawapendi shari, kila wanachofanyiwa wao ni hewalla mzee, hivi ndivyo tulivyo na ndivyo tunavyoendelea kuwa.
Asante Pasco nimekuwekea thanks pale kwenye post yako
 
Back
Top Bottom