Kumbe Tanesco ipo mpaka Uganda!!Ndo tatizo la kujaza hawa waganga wa kienyeji kwenye timu kaseja,kiemba,maftah,.. dk84 umeme umekatita uwanjani sisi waganda3 tanzsimba0
Kumbe Tanesco ipo mpaka Uganda!!
YONDANI ndo chanzo cha matatizo pamoja hasa goli la pili na la tatu pia na CHUJI aliyeingia kipindi cha pili hana msaada wowote ni ndevu tu zinapeperuka uwanjani.Ndo tatizo la kujaza hawa waganga wa kienyeji kwenye timu kaseja,kiemba,maftah,.. dk84 umeme umekatita uwanjani sisi waganda3 tanzsimba0
kama Yondani ni msaada imekuaje hizo tatu zikapita?????, njoo na hoja Staz kwa ujumla imecheza fyongo na Yondani na Chuji wakiwa mstari wa mbele kwa kucheza fyongo.Pole sana kwa kutujazia magarasa apa kwenye timu letu la taifa kaseja,mafta, kiemba ni vituko leo bila yondani tulikua tunapigwa wiki leo
CECAFAMpira umeisha uganda3 magic team0