johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,768
- 141,632
Hapa Bunju kuna taarifa kuwa Chadema wametetea mtaa wao wa Tegeta Pwani kwa ushindi mwembamba sana!Wadau tujuzane vyama vya upinzani vilivyoshiriki uchaguzi ni wagombea wangapi wa upinzani wameshinda. Weka jina la mgombea wa upinzani aliyeshinda na eneo lake.